hahahaha uwiiiii duu acha hizo wewe usipotoshe watu pakistan biz gani?ogopa mungu tushapoteza narafiki wa ujinga huo na we unarudi na umbururaa wako.mhhhh hayaa fursa hiyo
mkuu strawber S.A usijaribu kwanza simu zao ghali sana hata kama second hand mi nimeishi huko mapajua A TO Z tangu 96 hadi 2009 leo nalima mahindi na mpunga morogoro. nenda uganda kama unavyoshauriwa .pia wa tz ndio adui zako huko unaweza poteza kila k2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.