Search results

  1. M

    Kesho mjini kutakuwa kimya!!!!!!

    Hah hah, yanga sio ya kuchezea!
  2. M

    Zawadi

    Jaman Zawadi kaishia wap,mbona utam umekolea ndo akaingia mitin? Mwenye website ya hiyo story ya zawadi naomba!
  3. M

    Siwezi kuisahau siku ya jana-mwanamke ajifungua kwenye foleni

    Uchungu hauna taarifa mpendwa,unaweza kuanza popote tena ghafla hasa mimba ikiwa ni ya pili na kuendelea. Af kingine kutokana na ugum wa maisha mtu huwez kukaa kisa et unakaribia kujifungua,lazma kutafuta. Dala dala ndio usafir wa walio wengi hapa jijin so hiv vitu ni vya kuomba Mungu tu visikukute
  4. M

    Hata Ukirukaruka!

    Kurukaruka kutakusaidia kuwa fit phisically na co kuzuia mimba Rose!
  5. M

    Kwanini Wazanzibar watuite Machogo(Chogo), ni Haki kweli?

    Yan wao ni wa kujifananisha na sis? Mbona hawana lolote zaid ya kumind michezo ya kishetani? Tutawachapa then tuone ni nan chogo zaid,pambaf!
Back
Top Bottom