Uchungu hauna taarifa mpendwa,unaweza kuanza popote tena ghafla hasa mimba ikiwa ni ya pili na kuendelea. Af kingine kutokana na ugum wa maisha mtu huwez kukaa kisa et unakaribia kujifungua,lazma kutafuta. Dala dala ndio usafir wa walio wengi hapa jijin so hiv vitu ni vya kuomba Mungu tu visikukute
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.