Kiwanja kilichopimwa na title deed yake chenye zaidi ya eka mbili kinauzwa. Plot ipo Iwambi, Mbeya. Eneo linafaa kwa godwn, apartment, hostel nk.
kwa mawasiliano piga no 0754895153
Wadau
Ninatafuta mtu anayefaa kusimamia shughuli za Pub/Bar iliyopo maeneo ya Kigamboni-Maweni Area mwenye sifa zifuatazo:
1.Mwaminifu na mwenye kujituma
2.Elimu isiyopungua kidato cha nne
3.Mzoefu
4.Mwenye uwezo wa kujenga mahusiano mazuri na wenzake
Kwa yeyote anayehitaji kazi hiyo, tafadhali...
Nadhani sisi watanzania tunaishi katika Tanzani tofauti sana na nadhani kuna tanzania mbili-ya wanaokula kwa ccm (3%) na wanaokula kwa jasho lao (97%). Hivi kwa hali ilivyo leo, unaweza kushabikia uwezo wa CCM kututoa katika hali hii tuliyonayo? Naomba wana JF tuwe wakweli na si ushabiki tuu...
Ndugu wan JF,
Natafuta kitabu cha Hekaya za Abunuwasi; yeyote aliyenacho naomba anijuzu ili nifanye malipo yake. Au kwa msaada unaweza kutia hapa JF kwa pdf.
Natanguliza shukrani za dhati
Mwanahalisi ya leo imeripoti kuwa kunauwezekano wa baraza la mawaziri kuvunjwa muda wowote baada ya kwisha kwa vikao vya Bunge. Kwani JK ameona kuwa halimsaidii kutatua matatizo ya wananchi
Hiyo siyo ajabu kwani hakuna tatizo ambalo ni jipya hapa duniani. Utatuzi wa matatizo unawezajuwa mpya.
Napenda umwambie binamu yako kuwa ndoa kama hizi ziko nyingi tu na wanishi kwa amani bila watu wengine kujua. Cha muhimu hapa ni wao kukaa chini na kulijadili hili tatizo na kupata ufumbuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.