Naomba munisaidie,
Dr Batilda Burian ameteuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya TRA.Je atakuwa anawajibika vipi akiwa Kenya? au ndio atakuwa analambishwa posho zisizo na tija kuja kwenye vikao?Je hakuna watu/vijana wengine ili mgawanyo wa kazi ugawanywe sawasawa?:lol::lol::lol:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.