Dave the fighter. Nakukubali sana jirani, kwa sie tunaofanya kazi na wewe huku Tanga tunautambua uwezo wako 'upstairs'
BTW ametoa namba zake kwa watakaoguswa kumchangia anataka kununua kiti cha umeme (kama sijakosea) kitakachomsaidia kwa urahisi kuliko alicho nacho sasa. Tumuunge mkono mpambanaji
Aisee kweli, humu kuna much know pro extra max, yani ni wanakomaa sijui ma agent wa kuzimu chaaah
Ukijaribu kupambana nao umeharibu, lazima nafsi itibuke
Hii story jamani nimeipenda mnooo
Yan segments za mama Erica zilikua zinanichekeshaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna moja hiyo eti " Erica mwanangu rudi nyumbani nimekukumbuka sana, yani mjomba wako ameniuliza hivi tulisomesha mtu au paka[emoji28][emoji28].... daah asante mtunzi, nawe...
Basi nkakuta mi reply ya kufa mtu nkajua imeendelea kumbe soga jamaniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnatutesa kisaikolojia maghost mjue[emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi tunakua wakali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]chezea uraibu
Kwa niaba ya maghost wenzangu tutaanza kulike kila post ili kukupa morali fanani wetu[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mie ghost follower wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...mana navokufatilia ni balaa story zote nimooo kasoro nasahau kulike[emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.