Very sad, sijui Tanzania inaelekea wapi. Naona mikono ya viongozi wetu ipo busy kuivuranga nchi yetu. naona Mungu pekee ndo atatunusuru, kwa sababu wana wa giza wanazidi kuwa na maguvu dhidi ya watoto wa nuru.
Mkuu Ben, wakati mnafikiria kupambana na mkakati ovu, msisahauni mikakati yao mingine kama Kuzinduliwa kwa mradi wa mabasi yaendayo kasi siku chache kabla ya uchaguzi. Anzeni kuya pre empty mambo kama haya pia.
Dr kafanya kazi nzuri kuijenga CDM, but anachokifanya sasa hatukukitegemea kwa mtu kama yeye. Yaani kawa mfanya propaganda wa CCM. Kwa hili kafanikiwa sana kwa kujifanya yupo neutral.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.