UNAWEZAJE KUWAALIKA WATALII KUTEMBELEA TANZANIA KUONA SERENGETI NA WAKATI HUO HUO UNAJENGA BARABARA KUU YA KIBIASHARA (UKIDAI KWA KUWA KIPANDE KIDOGO CHA KILOMETA 54 HAKITAWEKWA LAMI) KUKATISHA SERENGETI - UKIJUA FIKA KWAMBA BARABARA ITAHARIBU UOTO ASILI, NI HATARI KWA WANADAMU NA WANYAMPORI...
Maoni ya ziada kuhusu barabara hii:
Kwanza nyanda za Serengeti na za Umasaini (Serengeti Plains and Maasailand) hivi sasa zina utata kuhusu umilikaji wa ardhi kote Tanzania na Kenya; wenyeji wakidai wamenyang'wa ardhi yao asili! Si wa-Masai tu, bali pia makabila mengine. Kwa Tanzania, kuna...
This is to inform all interested parties that the FaceBook page which was 'blocked' almost two weeks ago regarding the controversial Highway intended to be built by the Government of Tanzania (STOP THE SERENGETI HIGHWAY) has now been officially 'UNBLOCKED' by the FaceBook administration.
The...
Majuzi (11 Septemba 2010) tumesoma taarifa kwamba kontena mbili zenye takriban meno ya tembo 365 zilikamatwa bandarini Hong Kong na maelezo yanaonyesha kuwa shehena hiyo inatoka nchini mwetu Tanzania! Sina hakika kama mzigo huo unatokana na uvujaji/wizi kutoka ghala ya serikali 'ivory room'...
Nisaidieni: mada ya hapa ni nini? U-Kenya?, U-Tanzania?, Ujirani (mwema/mbaya)?, Jumuia? Meno/Pembe ya/za Ndovu? Mawazo binafsi?
Smatta ka-boil, na ukibishana na mjinga, nani atamtambua mwerevu?
Kama tunakubaliana na maoni binafsi, THEN IT IS MY PERSONAL VIEW THAT THERE IS NO WORTHY VIEW FOR...
(Ubungo)2, huyo Mkenya ni yupi, ili tumjue (asitudanganye hata akisema ukweli, ili mradi ni Mkenya tu, basi anadanganya?)
Pia hamfahamu kwamba hulka ya kwanza ya asiye na hoja ni kutafuta mgomvi wake? Ni nani huyo aliyewahi kutamka kwamba Afrika ni kwa ajili ya wanyamapori, misitu, mapori na...
Mkuu,
Bado sijaiona hiyo 'fault finding mission' hapa, wala 'finger pointing': Na hiyo 'trend' waliyoiweka si wengine bali chama tawala - inaitwa 'danganya wajinga kadiri uwezavyo'. Ghafla, wajinga wamepata kajielimu kadogo wakagutuka! Ndipo waongo wanahamaki na kutangaza takwimu, ahadi...
INAELEKEA MADA KUU YA MKUTANO HUU NI UCHAGUZI 2010.
HIVYO NASHAURI KAMA KUNA WASHIRIKI WANA NAKALA ZA ILANI KUTOKA VYAMA MBALIMBALI KUHUSU MIKAKATI YAO IKIWA WATAPITA (NGAZI ZOTE KUANZIA DIWANI HADI RAIS) KWA MIAKA IJAYO, ITAFAA WAZIBANDIKE (attach) HAPA, TUZISHUSHE (download), TUZIPITIE...
Njilembera, inaelekea muda mrefu hujaenda vijijini. Kule tamko la kiongozi wa chama tawala ni sawa na agizo la serikali. Vijijini hawaalikwi kuhudhuria vikao - wanaambiwa waende! Usiposhiriki unatengwa, upinzani ni sawa na adui - wanaishi kwa woga wa kuiudhi serikali iliyopo madarakani. Wazee...
Buchanan, mbona taarifa hiyo ni ya raia mwanamke wa Indonesia, wakati aliyechomwa misumari anatoak Sri Lanka? Hata hivyo, taarifa zote mbili ni sahihi ki-matukio nchi za Arabuni. Pia nchi nyingine za kiarabu matendo ya ukatili kwa wafanyakazi wa ndani hufanyika. Hawa wanaojulikana mara nyingi ni...
WenyeNchi wnanasema 'takwimu hazidanganyi'; wanaaona ('vipofu') ie: wanaNCHI; wanasema 'mwenye njaa, mgonjwa, kijijini halishwi, kutibiwa, kusomeshwa, kuajiriwa au kuvishwa na takwimu'. Toka lini Ikulu ye yote duniani inaweka 'orientation period' ili baada ya uzoefu ofoisini (ambapo pia hukai...
Mimi nimepata Daily News, The Citizen, IPP Media, Mwananchi ila nimeshindwa Mwanahalisi, Tanzania Daima, Raia Mwema. Yale mengine yasiyo mrengo 'unaokubalika' sina kawaida ya kuyatafuta, hivyo sijui kama yanapatikana. Lakini nadhani MwanaHaki ametufungua macho kiusahihi! Asante kwake!
Sawa, Tanzania IS a sovereign state, and they deserve the right to 'just do what they gotta do". But there is/are options that would allow a 'WIN-WIN outcome: A road could be built without destroying the ecosystem. That alternative has been strongly suggested, yet the government is adamant. One...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.