Inabidi watu tuelewe kususa au kutoka nje ni njia ya kuonesha kutokukubaliana. Nadhani CDM wamefanya hilo kwa nia hiyo. Hawajasusia mkutano wa bunge bali upitishwaji wa kanuni. Anyway, it was such good drama
Ni ngumu kusema kwa nini wanaume waliooa wanakuwa na wanawake wengine. Sababu ya hili ni luluki kama ilivyo kwa wanawake wasiotaka ndoa bali wanaume waliooa. Kuna uhusiano wa moja kwa moja hapa kati ya hizi tabia mbili
Mkuu unanyonga lugha ya Kiswahili rekebisha hizo l uweke r. Pili ukitaka kusema au kutuaminisha wewe ni msema kweli au ukimaanisha Jk ndio msema kweli unapoteza muda you are both dissimulators/hypocrites. Kama alivyoainisha Alberto na wengine hapa, Jk ameonesha udhaifu mkubwa sana katika uongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.