Familia ya Bwana Gabriel kilave wanapenda kutangaza kifo cha
kaka yao BW GEORGE KILAVE kilichoteka huko INDIA
Habari ziwafikie ndugu jamaa wote wanaomjua bw kilave
washarika wa KANISA LA ASKOFU KAKOBE,ASKOFU KAKOBE
NA WENGINE WOTE!!!BWANA AMETOA BWANA AMETWAA
Wpendwa katika bwana napenda kutoa shukran kwa wale wote walioshiriki
pamoja nami katika kumwaga bibietu bibi anna kipingu alietwaliwa na mungu
katika ulimwengu wa dunia hii na kwenda kuandaa makao huko mbinguni
Tutakukumbuka bibi kwa mapenzi yako na msaada wako wa mawazo
kwa zaidi...
Hakika kama umepita sinza hutosita kuungana nami
kwamba sasa sinza inaitaji kuitwa jiji la sinza
nimepita kila sehemu imekidhi kila haja ya mtanzania
kwa kila maitaji ya mtanzania....kwa wale wahusika
hapo juu tunaomba sinza ipewe hadhi ya jiji la sinza kama
dar es salaam
natumaini sala na...
mmmhh waweza kuhisi ni utani ila hii ndio hali halisi dk kadhaa zilizopita
nimeona matangazo ya BANGO ...MAMA AITWAE VALERIAN KABUJE
anatangaza kupotelewa na mumewe alietoweka nyumbani kwao mwaka 2005
kwa kumwacha akiwa na mimba na watoto 4..mumewe anaitwa....Gkabuje
Huuuuuu natumaini ajaenda...
hatimae yul bwana aliekuja na mikwara mingi sana kutoka marekani na kuanzisha timu
ya kajumulo na kuishia kushindwa kuifadhili mwisho kusahalika kabisa bw ALEX KAJUMULO
amerudi tena wakati huu amekimbilia songea na kuomba udhamini juu ya majimaji
bw kajumulo amesema lengo lake lilikuwa...
--ALALAMA UCHUMI UNAPOROMOKA
--WATANZANIA WASIO NA SIFA KUKAMATA OFISI KUBWA NA KUACHA WENYE SIFA
---SERIKALI LAZIMA IWE MAKINI NA HILI ..VINGINEVYO TUTAJAZA MAPOPOMPO MAOFISINI
Aliekuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh rais mwinyi amelalama na kulaani
ajira nyingi za tanzania...
Katika kuadhimisha siku ya familia dunian..wanawake wakiongozwa na eng stella
manyanya wameandamana mpaka mlima matogoro kupinga ongezeko la mafataki
na jinsi ama mbinu wanazotumia kuachiwa mahakamani baada ya kupelekwa
na ushahidi kuwepo....
Msafara huo ulioishia mlima matogoro ukiongozwa na...
wale ndugu zanguni mlio nje ya tanzania..naomba muwe makini sana wakati mkiwaacha
wake zenu ama gfriend ama wachumba inavyojulikana
kuna jiran yangu hapa mbezi kwa kweli mumewe akifika anakuwa kama kama malaika
alietoka kwenye sinagogi..lakini ukweli akiondoka jaman dada huyu ana mijamaa yake...
Huu mti mpwa umefanana na pam tree zilizowekwa kipindi cha mkutano mliman city
kama zimepandwa miaka 5 iliopita kumbe ulikuwa usiku wa baraka dar ikapendeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.