The president abjured the evil policies to antipathy the buddies cajoled. As such, his cupidity desiccated the contumacious for pragmatic. And to be honest, his abaxial jaspideous may dactylomegaly sooner than expected!
Hata mimi nakubaliana na hii habari. Kwanini Manyerere aje na thread ya kutaka huyo jamaa akamatwe na hapohapo inaingia breaking news kuwa amekamatwa, tena mtoa habari ni huyo huyo manyerere? Manyerere haaminiki hata kidogo. Hii filamu imepangwa na hata huyo jamaa yupo. Kinachofuatia atajifanya...
Watu pori ni watu wa ofyo kabisa. Wakipata kakitu kidogo tu wanapiga makedhedhe mpaka dyunia yote inasikia. Padhe Kariakoo kuna fyijana wa nyumbani wana hedha dhakini huwesi kusikia wanapayukapayuka namna hii. Ndiyo maana kidha siku nasema mwanangu wa kyike kamwe hatakaa aodhewe na kyasaka.
Mkuu mengi ya uliyosema ni sahihi. Hii ni kali kabisa mtu mkubwa kama mwenyekiti (tena rais) kupokea makapi ya aina hii. Lakini usidhani hawajui ila maji yamezidi unga. Ni kama mtu mfa maji hata unyasi ataungangania. Na kwa upande mwingine ukweli ni kuwa watanzania ni watu wa mkumbo na wasiotaka...
Wewe ni kubwa zembe! Nasema ni kubwa zembe kwa sababu mawazo yako saa zote yanawaza ngono na kupata fedha za mteremko! Unafikiria kufanya ngono saa zote na umejaa uvivu. Kwa ujinga na uvivu wako umeona uchukue shoti kati ya kumtongoza huyu Juliana. Meseji zote ulizokuwa unamtumia eti za ''kumpa...
Mkuu makosa yalitokea mwanzo. Mlipokamata mzigo na ushahidi na kuona habari haikutoka wala wezi kukamatwa mngeendeleza libeneke mpaka kieleweke. Sasa jaribu kufuatilia ngazi zote na kwa namna yote...
Babu wa kazi za majuu, bado hujatoelea maelezo zile kazi. Mimi na wewe, wewe na mimi. Usifikirie nitasahau!!!! Hata babu Jumanne akinibembeleza kama ulivyomtuma!
Mkuu na wewe ''unazungumzia kufanyia utafiti'' mambo yasio na hata chembe ya ukweli? Hizo ni hekaya ambazo kwa mtu aliyesoma shule na akaelimika hazitamsumbua sembuse kuwaza mambo ya utafiti.
Hallo mwanzisha thread,
Usijaribu kucheza na akili za makachero kama mimi. Wewe uliyeanzisha thread ama ni mkuu wa kikundi cha masalia au ni mfuasi wake. Na nia ya kuanzisha hii thread ni kuomba msamaha kwa njia ya ku-blackmail kama ambavyo mmekuwa mnafanya siku zote. Na wachangiaji wote wa...
Hivi ni vile vi-blackmail vya kijinga kijinga vya sampuli ya Kikwete alivyomtega nao Mkapa ili aweze kuhonga wajumbe wamchague. Nakuhakikishia kabisa bila wasiwasi wewe nje ya Chadema sio lolote ndio maana unaogopa kufukuzwa kwani utakuwa ndio kifo chako kisiasa. Nguvu yako sasa hivi inatoka CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.