naombeni mnasaidie kwa ili nilimalizA kidato cha 6 nikafeli nikajarbu kusoma uandish nikishndwa kumaliza kwa sababu ya ukosefu wa ada kwa sasa nahangaika mtaaani ila nna kipaji cha utangazaji bt nikiomba kaz certificate inagomba pia naweza fanya u mceee kwenye masherehe #ushauri plz
ndugu vipi tena tumekuja kutishana humu au?mpuuzi ni wewe husiejua kitu,unatetea vitu ambavyo huvijui na sidhani kama umesoma japo kidogo historia ya IPTL NA ESCROW ilivyotokea,ungejua wala usingekuja kubishana humu,otherwise uwe umetuma labda na hupo kwaajili ya kuchumia tumbo.pole sana kijana...
Hivi ndugu umelifuatilia kweli na kwausahihi suala hili la iptl na escrow?kama ungelifuatilia bila shaka ungekaa pembeni mwenyewe wala usingeumiza kichwa chako kumuunga mkono kafulila wenu huyo,kinachofanyika ndugu ni hao watu wahovu na mafisadi kumtumia kafulila kwa malipo maalum ili kuichafua...
Imemsaidia nini sasa pamoja kusema kwake huko?kafulila anajua mchezo msima pamoja na matokeo yake, Kafulila anafahamu kuwa iptl ndio kampuni pekee
iliyookoa fedha za watanzania kwenye nishati kwasababu ya
kuwauzia umeme kwa bei nafuu kuliko kampuni anayoipigia
debe na iliyomtuma kuichafua...
wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
Haya bhana,lakini kumbuka mtu akikamatwa na kitu cha wizi na yeye ni mwizi,sasa kama kafulila amepewa hizo fedha za wizi ama zakifisadi basi na yeye ni mwizi ama fisadi kwa maana na yeye ameshiriki vitendo hivyo vihovu.
Nyie mnaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa ndio mnaofanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hili au labda
mueleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma ndio mueleweke kwa jamii.
wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
sasa anayetumika ni nani zaidi ya kafulila kwenye hili suala la iptl na escrow?muulize vizuri kafulila hizo hela alizopewa na mafisadi ni za kazi gani?kama siyo za kazi ya kuichafua wizara ya nishati na madili pamoja na watumishi wake?
umeona eeh.....kazi kwake sasa,wakina mkono,rostam,mengi wamekaa pembeni wanamsikilizia maana wameishamwingiza kingi tayari sasa anajinasuaje huyo kafulila?kwavile amekubali mwenyewe kutumika basi ngoja atumike tu mpaka mwisho wa safari.
pole sana kijana kama ujaelewa,mwenzio kafulila anaelewa sana na anajua matokeo yake baadae nini zaidi ya kuumbuka na kushuka kisiasa,sasa hivi anaangaika kujinasua kwenye mtego huu wa mafisadi,mafisadi wamemuingiza kingi na yeye kaingia bila kujua matokeo yake baadae itakuaje.
Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,alisema.
Aliongeza; VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa
ESCROW, hivyo kusema kwamba...
Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,alisema.
Aliongeza; VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa
ESCROW, hivyo kusema kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.