Search results

  1. Nyange

    Hivi kwanini ujenzi wa makanisa mengi ya KKKT huwa hauishi?

    Umenikumbusha mbali. Make ile harambee ilileta patashika kwasababu alialikwa Rostam ikawa nongwa kwamba yule alikuwa fisadi ikapelekea mchungaji aliyekuwepo kuondolewa kama sijakosea. So ujenzi wa kanisa nisawasawa na mti kandokando ya mto. Majani ya huo mto hauishi ukijani.
  2. Nyange

    Hivi kwanini ujenzi wa makanisa mengi ya KKKT huwa hauishi?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]
  3. Nyange

    Hivi kwanini ujenzi wa makanisa mengi ya KKKT huwa hauishi?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  4. Nyange

    TANESCO mbona unatupa stress kiasi hiki?

    Mvua ingekuwa hainyeshi, wangesingizia ukame. Sasa ndo tutajua hatujui watu tuliowakabidhi majukumu kwamba hawana uwezo wa kufanya wajibu wao. Hawajui vipaumbele kama taifa wao wako kwenye ziara ulaya na kununua mashangingi. Kiufupi wanaishi maisha ya anasa huku walipakodi wakiishi kama...
  5. Nyange

    Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

    [emoji23][emoji23] Ukila juwa na wewe kuna kiliwa.
  6. Nyange

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mwenyewe kajiongeza[emoji23][emoji23]
  7. Nyange

    DOKEZO KKKT Kimara- Korogwe mnaumiza majirani zenu kwa kutiririsha maji machafu!

    Pamoja na video nilizorusha humu pia majirani wote wanashangaa sana taasisi kama kanisa kufanya kitendo hicho na sio mara ya kwanza. Viongozi wa mtaa walishapewa taarifa hizo mara nyingi wanajua, hata maeneo yanakoelekezewa huo uchafu wanajua na wanalaani sana. Wewe unayeona kutoa ushahidi...
  8. Nyange

    DOKEZO KKKT Kimara- Korogwe mnaumiza majirani zenu kwa kutiririsha maji machafu!

    Sure. Ndo maana tumeamua kupiga yowe ili tupate support ya jamii ili wakemee hiyo tabia. Inasikitisha kwamba hii taasisi inakwenda kinyume na jamii inavyotarania iwe. Social responsibility = 0
  9. Nyange

    Mchungaji Matsahi: Wakristo tuko karibu zaidi na Wayahudi kuliko Dini nyingine kwa sababu ya Isaka na Yakobo!

    Dini ndo maana kila mtu aliyejipanga kwa karata zake anaweza kusema ya kwake ili mradi anakusanya sadaka na maisha yanaenda tofauti nawanasayansi. Mwanasayansi anafanya kitu kwa facts ndo maana anafanya experiments na kupata results then an implement. Akikosea anafuatilia mpaka akifanikiwa...
  10. Nyange

    DOKEZO KKKT Kimara- Korogwe mnaumiza majirani zenu kwa kutiririsha maji machafu!

    Tunashindwa kujua kwanini hawafanyi hivyo! Kuna kitu hakiko sawa!
  11. Nyange

    DOKEZO KKKT Kimara- Korogwe mnaumiza majirani zenu kwa kutiririsha maji machafu!

    Kumbuka ilikuwa zaidi ya saa tano usiku walikuwa wakiwasha tochi angalau picha zionekane.
  12. Nyange

    DOKEZO KKKT Kimara- Korogwe mnaumiza majirani zenu kwa kutiririsha maji machafu!

    We ukipita barabarani huwezi ona. Nikwamba hilo jenereta liko juu ya karo ya maji taka, mpira ule mgumu umezama shimoni unafyonza uchafu, mpira wa upande mwingine unayasukuma kuelekea upande wa bondeni ambapo ndo majanga yanakumba waaeneo hayo ya kusini mashariki mwa hilo eneo.
  13. Nyange

    DOKEZO KKKT Kimara- Korogwe mnaumiza majirani zenu kwa kutiririsha maji machafu!

    Taarifa wanazo, tena mwanajamii mmoja alienda kakuta na mhusika akampeleka nyumbani kumwonesha maji yalivyoingia mpaka ndani ya nyumba yake, alimwambia hivi" na hapo bado hayajaingia sawasawa kwasababu miradi mikubwa inakuja yataingia sana"
  14. Nyange

    DOKEZO KKKT Kimara- Korogwe mnaumiza majirani zenu kwa kutiririsha maji machafu!

    Nilisikia siku nyingi kwamba Kanisa la KKKT Kimara Korogwe tunaloliamini kwa mambo ya kiroho, kijamii na ustawi bora ukiacha ile ahadi ya kutuandaa kwa ajili ya ulimwengu ujao kwamba unatiririsha maji machafu (kinyesi) kwa majirani zao. Sikuamini macho yangu nilivyo shuhudia kwa macho yangu...
Back
Top Bottom