Search results

  1. P

    Zitto Kabwe asoma kitabu kimoja na kukimaliza kila wiki 2016

    Inalipa sana kujisomea kaka ndio maana unakuwa tofauti kila Mara kwa kujiongeza na kujipambanua kimaarifa zaidi,wengine mbwbwe Tu,binafsi nafuata nyayo
  2. P

    Ndege mpya yafanyiwa majaribio. Yaenda Kigoma bila abiria na kugeuza bila abiria

    Binafsi napongeza uwepo wa chata au nembo ya Taifa letu kwa maana ya ndege hizi,pia sikubaliani kuwa wananchi eti wamesusa,ninacho amini ni ugeni wa ndege na safari hizi ingawa pia hali ya watu kulalamika kukosa mzunguko wa pesa pia ni janga. Tushukuru kupata ndege zetu wenyewe kama Taifa na...
  3. P

    Vitunguu toka China na matumizi ya USD

    Nionavyo Mimi suala la uchumi na Uzalendo ndio moja ya changamoto kubwa, nchini kwetu,sio kwenye Vitunguu tu na samaki,na tatizo linaanzia juu matibabu,thamani za majumbani na ofisini,mavazi hata safari za nje vs vijijini mwetu. Ili uonekane mtamu na bora lazima uendane na Kasi ya...
  4. P

    Viwanja na Mashamba vinapatikana Kigamboni

    Safi sana,je vimepimwa na VP juu ya Huduma za kijamii ie Maji+ umeme+ Barabara?
  5. P

    Natoa mikopo ya dharura kuanzia Tshs laki 5

    Hongera kuwajali wanaopenda kujiongeza kwa mkopo,binafsi nitakopa kati ya 9 wa mwanzo,nipo arusha
  6. P

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Nikupongeze mtangaza fursa,binafsi nitakupigia nipo Arusha tufanye biashara
  7. P

    Kuna Faida gani za kuwa na company?

    Kampuni inavaa uhalisia na kuishi hivyo kupata uwezo wa kushitaki ama kushitakiwa(legal entity) Uhakika wa kuaminiwa maana ipo kisheria. Uwezo wa kuendesha mambo yake kwa kufuata Sheria,kanuni na taratibu. Uwezo wa kulipa maduhuri mbalimbali ya serikali. Uwezo wa kuheshimika pia nk
  8. P

    USHAURI: Ongeza elimu bure: Free MBA online

    Program hii itasaidia wengi hasa nchi za dunia ya tatu,na pia mtambuzi wa fursa hii na link nikupe big up sana
  9. P

    Saudia: Amuua daktari wa kiume kwa kuuona utupu wa mkewe wakati wa kumzalisha

    Dah,inatia simanzi sana,pengine angepoteza maisha bila kupata usaidizi wa kitabibu wangemchukulia hatua Dr hiyo. Kwetu wengi wanapenda kuzalishwa na Dr wa kiume
  10. P

    Kufanikiwa katika maisha sio elimu tu, bali na ujasiri wa kujiamini na kuthubutu!

    Kabisa,na Kubwa zaidi Elimu yetu imekaririwa Tu jambo ambalo halimpi MTU nafasi ya kujitandaza ndio maana naamini awamu hii itafumua kabisa mfumo huo
  11. P

    Kwa vijana wenye biashara kipato kati, kuna mbia anawahitaji

    Wazo zuri ila mtoa mada anatufanya tuwe na maswali mengi zaidi ya majibu,fafanua ueleweke
  12. P

    Usafiri wa mabasi kwa baadhi ya mikoa sasa kuchukua mpaka siku mbili kufika

    Napata shaka sana juu ya weredi wetu juu ya ajili za barabarani. Binafsi nimeiona viongozi pamoja na kuendeshwa na Madereva professional nao wanapata ajali,polisi wenyewe wanao simamia Sheria kwa mikogo yote nao Mara nyingi wanapata ajali na kudhurika. Suala la kupunguza au kuondoa ajali kwa...
  13. P

    Kanuni za kumlea mtoto ili akue na maadili mema

    Nakushukuru sana mtoa mada,maana hapa ndipo tunapokosea ktk kuwaandaa watoto wetu,malezi hayashabihiani na uhalisia wa maisha yetu na ndio maana tumezua Taifa linalo endea kwa Kazi mmomonyoko wa maadili. Watoto wameachwa waishi,waamue,waenende wanavyotaka. Wazazi hatuna muda nao kabisa kutokana...
  14. P

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Hongera sana mtoa mada na utaalamu kweli umebobea..Binafsi ni mnazi wa kulima kitunguu naishi Arusha ila nimeambiwa fursa hii IPO Ruaha mbuyuni iringa
  15. P

    Nimeiunda social network hii.Wataalam wa IT karibuni kwa ushauri. kwa ushauri!

    Vyema sana na ufanyie Kazi ushauri wa wataalamu na kuruhusu maboresho
  16. P

    Hili suala limefika shingoni, Serikali ilitizame watu wawajibishwe

    Tumekuwa Taifa lisilo makini ktk usimamizi wa mambo yetu ya msingi kwa miaka Mingi sana. Suala la uzalendo ktk natural resources ni changamoto Kubwa maana hata Tanzanite inasomeka kutoka Jirani na taasisi zetu zimelala fofofo. Inasikitisha sana tuchukue hatua kuwa wazalendo badala ya kuwa na...
  17. P

    Kuishi kwa mazoea kunatufanya tuuchukie ukweli

    Wengi wetu walizoea kuishi kwa maigizo na umma kuwapigia makofi matokeo yake tumezaa matabaka na kuondoka uzalendo. Ukiwa mkweli na kusimamia Sheria,kanuni na taratibu Jamii inakuona mnoko,mzushi na usiye faa ila sasa mshua kaamua kuanzia juu kwa juu huku chini SS twajianga Mwenyewe,mnao simamia...
  18. P

    Je upo kundi lipi kati ya haya

    Hongera sana kutukumbusha kujipanga ili kujiongeza
  19. P

    Magufuli: Walioanza kulalamika hakuna pesa mifukoni ni wale waliozoea kupata pesa za burebure

    Binafsi,naona hakuna uhalisia wa kipato vs matumizi Na hali halisi ya kupanda gharama za maisha nchini. Unafuu wa maisha hauja onekana kabisa Na wananchi wengi wameguswa Na ugumu wa maisha,inahitaji muda,busara Na kujituma kufikia malengo Na watu kujiongeza ili kuweza kujikimu Na maisha yasonge
Back
Top Bottom