Hawa. jamaa wanaboa sana na wanajibu watu kisiasa kuhusu vyeti. .Siku moja nilimpigia associate Dean of SOPAM kuhusu vyeti. akanijibu. unaniuliza vyeti kwani mi ndo chuo'' je hii inaashiria nini? kwa cc watu wa PA tunaweza kusema kwamba. this signifies poor accountability and coordination...
tuache ushabiki wa imani zetu. hii swala ni la MSI GI sana. mada hii INA mashiko. kujistiri co uvae kininja. iliwahi kutokea kwenye tawi moja LA NBC MUSOMA. majamaa aliteka bank yakiwa yemevaa kininja
Siasa bwana! Any way tusubiri utekelezazi wa mradi huu. Ila ingekuwa vizuri tukajua mradi huu utaanza lini na wahisani kutoka nchi zipi na wataufanya kwa muda gani?
Mtu mwenye akiri akikwambia jambo la kipumbavu na wewe ukatambua kuwa ni la kipumbavu na ukalikubali hakika atakudharau sana (Mwl Julius Kambarage Nyerere)
Ninachokiona hapa ni watu kujisafisha kisiasa. Kuna sia lukuki kuhusu hao wawili. Wananchi tunataka kuona utekelezaji. Kamati au Tume huru iundwe kama alivyopendekeza Mh. D. Kafulila kwa ajiri ya kutauta uumbuzi wa swala hili mara moja.
Ninachokiona hapa ni watu kujisafisha kisiasa. Kuna sia lukuki kuhusu hao wawili. Wananchi tunataka kuona utekelezaji. Kamati au Tume huru iundwe kama alivyopendekeza Mh. D. Kafulila kwa ajiri ya kutauta uumbuzi wa swala hili mara moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.