Search results

  1. P

    Kumbukumbu ya Mfungo wa Ramadhani 3: Futari ya Ally Sykes na Sinia la Kunde za Bibi Titi

    Mzee Mohammed, tunafaidika sana na nyuzi zako kama hizi. Kwani zinatupa nadharia maisha yalivyokua jijini miaka hiyo na watu mashuhuri waliokuwepo. Sijaona lolote la udini hapa zaidi ya mtu mashuhuri amewakirimu watu kwake. Kuna watu humu wakisikia hata neno 'futari' basi dira ya akili zao...
  2. P

    Tupeane mbinu za ku-save: Unaweza kurudi na posho za kazi za field nyumbani?

    Mrudie Mungu na baraka ya mapato yako halali utaiona Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
  3. P

    Vodacom, huu ni wizi mpya mlioubuni? Nirudishieni 30000 yangu M-PESA

    Hawa voda na wenzao wizi sana. Na moja ya njia yao ni kukuzungusha mpaka uchoke. Kama una muda na gharama wapeleke mahakamani na dai pesa za usumbufu na gharama za kesi
  4. P

    Wamarekani wamkumbuka Magufuli alivyowalinda Watu wake wakati wa COVID 19, ni Ohio kwenye mkutano wa Trump!

    Kwa kweli Marehemu Magufuli alivyo shughulikia tatizo la Covid 19 anastahili sifa kubwa. Alipunguza sana vifo na taharuki na taabu za maisha kwani watu hawakupaniki na walitumia kinga nyepesi kama kunawa mikono na mvuke. Hapi apewe hongera kwa uongozi wa taifa katika wakati huo mgumu. Sent...
  5. P

    Huyu mnyama leo nimemuona mjini hapa

    Ukiwa na jina Hardlife utaishia kuona tu, badili jina
  6. P

    Upatikanaji wa Dollar za Marekani limekuwa tatizo lisilovumumilika Tanzania

    Swift ni mtandao wa kutuma pesa kibenki duniani. Ukinunua gari Japan wanataka uwatumie dolla. Sasa benki zetu au benki kuu haina dolla za kutosha kwenye account zao na mabenki makuu ya kimataifa. Kwa hiyo wanakwambia hatuna dollar
  7. P

    Je, unaweza kuniambia ni kwanini mpaka leo Tanzania ni maskini?

    Warwa nayo inachangia sana. Tumeendekeza sana warwa au pombe
  8. P

    Yanayofanyika viwandani Tanzania ni utumwa. Kazi ngumu, maslahi duni. Serikali haina mpango na wananchi wake, inachoangalia ni kodi tu

    Kuna ushindani mkubwa kwenye biashara wa ndani na kutoka nje ya nchi pia ndio maana mishahara iko hivyo. Ni lazima kudhibiti gharama au kiwanda au biashara itafilisika. Soko la ajira pia lina ushindani mkubwa ndio maana ajira ni taabu kwa hiyo ukipata mahali jishikishe mpaka utakapi pata pazuri...
  9. P

    Sikujua, kumbe Bakhresa anakopa mikopo ya riba kwenye benki za biashara

    Wewe hujaelewa kuwa benki wana facility au banking instruments nyingi kuwezesha biashara ambazo hazihusiani na mikopo ya riba. Pili binaadamu hajaumbwa kamili anaerza kuterereka mahali. Wewe umekalia kutafuta kasoro badala ya kutafuta kama yeye. Hiyo hapo benki nenda na wewe kama unadhani benki...
  10. P

    Serikali ya Tanzania ndio adui wa ustawi wa Watanzania, ushahidi huu hapa

    Hiyo riba ya 35% kwa siku 5 ndio msiba mkuu. Hizi si taasisi za heri zifungwe tu, hilo ndio nitailaumu BOT kuachia wananchi wa kipato cha chini wanyonywe vibaya. Anaekopa hivi pia anahitaji elimu zaidi ya kifedha.
  11. P

    KERO Serikali imeshindwa kudhibiti adhabu za Viboko shuleni?

    Waalimu wapewe mafunzo namna ya kuchapa kibinaadamu na kosa gani kuchapa. Fimbo ni lazima katika malezi kwa manufaa ya mtoto
  12. P

    Kwanini Ajira za Posta wanataka utume maombi kwa EMS?

    Huu kweli ujuha. Yaani sasa bado unataka watu watume maombi ya kazi kwa nyaraka badala ya email au online. Hiyo EMS ya kwao hao posta, wanajua watatengeneza mamilioni kutoka kwa watu ambao hawana ajira. Na uchungu zaidi utakuta wameisha chagua wanao wataka.
  13. P

    Africa: Tanzania yashika nafasi ya kwanza kwa nchi zenye watu wenye furaha zaidi

    Watanzania hatujui tu kuwa tuko mbali kuliko wengi kimaisha. Hii haimaanishi hakuna mapungufu yanayo hitaji marekebisho ili tuchomoke zaidi kimaendeleo.
  14. P

    Bwawa la Mwalimu Nyerere na athari kwa vijiji vilivyopo bondeni mwa bwawa hilo

    Haiwezekani kuwa sababu ni kuwashwa mtambo mmoja lazima sababu itakuwa ni mvua chini au juu ya bwawa. Ikiwa maji yamejaa bwawani na mvua zinazidi inabidi wafungulie maji yamwagige na hii athari hata lisingekuwepo bwawa ingekuwepo.
  15. P

    Wengi wanakimbilia ACT Wazalendo kwa sababu ni chama huru baada ya Zitto Kabwe kustaafu. Mwabukusi na Mbatia watajwa kuhamia!

    Zito ni hazina kubwa kwa hili taifa. Kafanya mengi kwa manufaa ya taifa huku akiwa nje ya chama tawala. Haweki maslahi yake mbele. Ana uzoefu mkubwa wa siasa na uongozi. Mimi si mfuasi wa chama chochote
  16. P

    Siku ya Mwanamke: Bi. Mwamtoro bint Chuma wa Mtaa wa Kariakoo

    Ukisikia msemo "kujitolea hali na mali" basi hawa ndio mfano mkubwa kwa jitihada zao katika kudai uhuru. Ingefaa hizi sehemu muhimu katika historia zinge bandiikiwa vibao vidogo (plaque) kueleza kwa muhtasari tukio la kihistoria lililo tokea kwenye nyumba hiyo. Hivi vibao vinatumika sana nchi...
  17. P

    Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

    Ikulu ni ya wananchi, kwa hiyo mleta mada usiweweseka kuona kama ilikuwepo hafla wakawaita wauza madafu kadhaa wahudumie wageni ili kuongeza mazingira ya furaha na wauza madafu wajipatie riziki na fursa kuingia maeneo ya ikulu.
  18. P

    Rais Samia akataa mwananchi kueleza shida kwenye mkutano, amtaka amfikishie kupitia mbunge

    Fikiria unamsimamisha rais wa nchi nusu saa kusikiliza kesi ya madai au kiwanja. Hiyo si sawa kuna mfumo wa kushughulikia kila tatizo.
  19. P

    Hivi Lugha yenye watumiaji wengi ni ipi duniani kati ya Kiarabu na Kiingereza? Kulikoni Safari Channel iweke subtitles ya Kiarabu?

    Vipindi vyote vya hiyo channel vinaoneshwa na subtitle za kiarabu? Labda hiyo program ilikua targeted kwa mashariki ya kati. Maana hao wazee wa huko wakiingia na petro dollar zao wanajua kuishi kama wafalme kwrnye hotel na huduma za hadhi
Back
Top Bottom