Khakee first time nilivoiangalia nililia aseehh!!!Mimi bwana kwa wahindi nalia kama mtoto Niko too emotional!!! Halafu nampenda Devgan ndo kawa adui daahh!Aishwarya Rai mule ameact vzr sana
We ndo hujamuelewa huyu mjamaa wenzio washamuelewa ametumia lugha tofauti kufikisha ujumbe maana action alizosema yeye hapa ni za kitandani
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Looh! Kumbe sema walimkataaga kwa kua ni mkubwa kiumri hata bimkubwa Hakua anamtaka yule mama!si unajua waafrica Kuoa mwanamke aliyekuzidi umri ni chengaa...!!!ila mrembo yule mdada mweehh!!!
Peter anahaha tu ukiangalia hata kimziki Rudeboy yuko vzr sana na anatoa hit song tupuu!kuna Chizoba...Reason with me za Rude go and listen those songs ziko bombs..Peter ni denacer na Paul ni muimbaji na ndo maana walivotengana Peter alijikakamua kutoa nyimbo mwenzie alikaa almost a year bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.