Nakumbuka wakati wa Mzee Mkapa hali ilikuwa ngumu sana lakini kwa msaada wa mdahalo wa wazi watu walipata kujua umuhimu na uwezo wa kiongozi kwa masaa machache tu.
Wakati tukitafuta suluhisho la matatizo yetu pia tukumbuke aliyeondoa midahalo ya wagombea kama mchawi wetu!
Nafikiri wazoefu...
Huyu jamaa katuni sake ni zaidi ya miaka 30 na cha ajabu zinakuwaga na unabii flani maana kuna zingine za miaka zaidi ya 15 ukiziangalia leo ndio unagundua ukweli wake. Hii nayo ni kama ya kaunabii fulani hivi!
Sasa sijui wanakuhisi vipi!?
Ndio maana lockdown au hata isingekuwa hiyo basi kufanya restriction ili pale tu alipojulikana mtu wa kwanza ndipo tracing ingeanzia.
Sasa ndio tumeshachelewa lakini haina maana ndio tujiachie na kufa sote, hapana tuanzie hapahapa tulipo na kwa vile uwezo tayari ni...
Mwezi mmoja uliopita (siku kama ya leo mwezi jana) athari za hili janga zilikuwa zinalinganishwa na vita kuu ya pili ya dunia, Mwezi mmoja baadae wanasema huenda athari zake zinapita za WW2 ikiwa na maana kuwa katika watu wote tunaoishi sasa hakuna hata mmoja aliwahi kufanya hata simulation ya...
Naona wanaopinga wanasema Rwanda na Kenya wameweka lockdown lakini wangonjwa wanaongezeka.
Na kwa vile wengi wanamini katika hizi propaganda na kutokuelewa huenda ikatupelekea kwenye janga zaidi maana hawajui kuwa idadi ya testing iliyofanyika katika nchi hizo tukiifikia sisi idadi ya case ndio...
Nawaza ni katika point gani inabidi ufikie na kukubaliana kuwa hili ni janga kubwa na HATULIWEZI!
Na baada ya hapo wenye kuendelea na maombi waendelee na wanaoamini vyote (sayansi na Mungu) wachukue nafasi yao. Hapa nina maana kuwa sisi tukae pembeni na tuombe msaada (labda kutoka jumuia ya...
Ghana wamefuta bills za maji na umeme kwa miezi mitatu,
Namibia wametoa pesa taslimu kwa raia
Kenya wamepunguza VAT kutoka 16% nadi 14%, kufuta PAYE kwa mishahara chini ya 500,000/-, benki kuahirisha marejesho kwa SMEs.
Rwanda na Uganda wanagawa chakula.
Ungefanya research kidogo ungejua zaidi...
Zitto, Hadi sasa trehe 15 April Jumatano haya ndio mawazo sahihi kwa hali tuliyo nayo.
Nchi yetu ina watu milioni 60 na haya ni mawazo ya taasisi au mtu mmoja kati yetu, anayeyapinga tafadhali aje na data mbadala (kujazia) ili zitusaidie kwenda mbele na kulishinda hili janga la covid-19.
Tuwe...
Hao wanaotaka kuleta hayo mabadiliko waliona mbele ila na wewe uliyeweza kuyaelewa bado ni 'great thinker' miongoni mwetu. Tatiizo ni kwa wale ambao masikini hata hawajui ni kwa nini haya yanatokea na hawajui hiyo misaada inayotolewa na Jack Ma na Bill Gates kuwa ndio beneficiary wa uchumi huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.