Mkuu unapiga hesabu zipi? Wanawake wamewazidi wanaume kwa 1.1m tu... yaani tunanyang'ana hao 1m tu.
Suala la kila mwanaume aoe wake wawili mathematically equation not balanced.
Ndio....tena na mashtaka kafutiwa yaani hakuwahi kufungwa jela hivyo ana haki ya kugombea ngazi yoyote ya uongozi au kuteuliwa ngazi yoyote ile ya uongozi.
Mpo visokolo kwinyo?
50B ni hela ndogo sana kwa mafisadi wanaoangalia mustakabali wa kizazi Chao hadi cha 5.
Hapo imepigwa si chini ya 300B....Kwenye mgao Hangaya nae in the house.
Ukifikiri kwa umakini utagundua kuwa kashfa hazikusaidii.....sasa upopoma upo wapi hapo?
Hoja ya msingi.....tuambie utofauti uliopo kati ya VP na Waziri.
Achana na akina Mwiguli kwanza....hao tutawajadili next time na U turn zao.
Samahani sana bro lakini ukweli ni kwamba huyo mdogo wako ni mjinga wa kiwango cha juu mno afu eti amehitimu chuo......sijui ni chuo gani na ni level gani ya elimu.
Ana elimu tu ila hana akili hata chembe.
Kanikera haswa......siwezi kumvumilia mtu mjinga wa kiwango hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.