Mkuu nami nimetokewa na tatizo kama la kwako nimezunguka kwa mafundi hakuna suluhu nikijaza mafuta Full tank inaanza zingua mara ikae sawa mara inaonyesha empty mkapa yakiwa halftank ndio inaanza kusoma kawaida kwa sasa siangalii tena najua nikiweka full tank naenda km 500 then najaza tena pole...
Msikie mwehu huyu, alienda kwa rafiki yake kupiga story, mara mvua kubwa ikanyesha mshkaji ikabidi amwambie rafiki yake usijali utalala hata hapa sebuleni Lea kuwa mvua kubwa! Jamaa akasema poa nitalala usijali! Mwenyejì alipoingia chumbani kwake kulala kama dk10, kutoka chumbani akamkuta rafiki...
Yote kwa yote haya mashindano yamepoteza mvuto Mf mtu anakuwaje Star kwa ku copy kuimba nyimbo za watu wengine washiriki wapewe nafasi ya kuonyesha vipaji vyao kwa kuonyesha nyimbo zao ndio maana mshindi anavuma kwa wiki tuu anatoweka milele
A Couple lived in tiny house, wanted to have sex without the Knowledge of their son.
They started having sex and asked their son to stand in balcony and keep telling them whats happening outside,,,
Son: John is buying fruits, Tina is pyaying and uncle Jack is ****ing his wife too!
Dad: Whats...
Wanaouliza kwanini kapelekwa mahakamani wakati ushahidi haujakamilika ni kuwa kisheria mtu akiwa mahabusu anatakiwa kupelekwa mahakamani kila baada ya siku 14 bila kuzingatia ushahidi umekamilika au bado
Cha kushangaza zaidi kuna msanii mwenzao anaitwa Sajuki anaitaji milioni 25 kwenda India kutibiwa hakuna hata msanii anayejigusa wanasubiri akifa wachangie milioni 30 za mazishi na mashairi mengi ya tulimpenda zaidi, Huu ndio unaitwa usanii kila kitu kuigiza
Hivi Kuna mtu anaijua Job description ya JK sababu sielewi anafanya nini Magogoni, Pia anakuwa jinsi alivyo sababu jinsi ya kumwajibisha haipo wazi hapa ndipo tunapoitaji katiba mpya hata leo leo tuweze mwajibisha huyu jamaa
Ni wiki ya pili eneo kubwa la Tabata Segerea hatuna umeme na sababu kubwa ni kuungua kwa transforma mbili siku ile ya mvua ya tr 21 tumetoa taharifa Tanesco na majibu wanayotoa ni kuwa itachukua si chini ya miezi mitatu kuzipata kutokana na mchakato wa manunuzi ulivyo lazima ufuatwe kwa...
Duu waskaji mnajua kujenga hoja mwenye DAR LUX namjua nje ndani kwa taharifa yenu anagari moja sema kajipanga vizuri na kaingia kwa gear kubwa as if ana magari 50 kupata jina mabo yote hayo huzushii mtupu mkiendela kubisha nitawapa mpaka bei ya gari!!
Husband: I have a problem at the office. Wife: After marriage, you
don't say I have a problem, say we have a problem. Husband: Ok, We are
expecting a baby from OUR Secretary
This is a good reminder .
A pretty woman was serving life sentence in prison. Angry and resentful about her
situation, she had decided that she would rather die than to live another
year in prison.
Over the years she had become good friends with one of the
prison caretakers...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.