Mtu kupoteza uhai kwa simu yako kweli?
hii ni sign wa umasikini wa fikra...uhai ni kitu kingine..nchi haina sheria au sheria hazieleweki?
mfumo mmbaya wa CCM unapelekea haya yote..nchi inahitaji mabadiliko sehemu nyingi sana ila zoezi la kwanza ni kuwabadilisha wananchi kifikra na kuwapa mbinu...
..Kama walikuwa kwenye starehe zao kwanini walipelekwa kupimwa?..
..Kwani ushoga na usagaji mbona umeishaingia kwa kasi ya ajabu TZ!
...au kwavile ni mzungu na mweusi mwenzetu...Mbona wabongo wao kwa wao wanageuzana sana tuu...
Sipendi hizi tabia za kishoga na kisagaji ila kwa dunia ya sasa...
Hii inanikumbusha kuna kijana alikuwa anakuja chuo(enzi hizo tupo pale mlimani) na barua yake ya mwenyekiti akiomba asaidiwe ada ya kujiunga na form one ..cha ajabu tangu nippo 1st yr hadi nafika 4th yr kijana anakuja kuniomba ada ya kuingia form II!...
Huyo Omba omba aende makanisani kule kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.