Habari wanajukwaa. Nimepangiwa CBG Dodoma secondary. Nilikuwa naomba ushauri kwa Mambo mwili.
Mosi. Je nikisoma CBG uwanja wake ukoje katika kusomea professional?
Pili. Je naruhusiwa kubadilisha ili nisome PCB?
Malengo yangu ni kuwa katika idara ya afya (Medical officer,Nursing, pharmacy, Lab...
Nimenunua laptop aina ya LENOVO B50-30. Window 7 bit 32.Lakini kinachonishangaza ni kwamba hawezi kucharge phones wala kusoma usb ya phone. Tatizo litakuwa nin maana nimejaribu kudownload na kuinstall free usb drivers lakini bado haisomi, zingine zinakataa kabisa.
Kosa kubwa lililofanyika ni kubadili kanuni, badala ya kupigia ibara mnapigia sura. Na hii ndo matatizo yake mtu anaona haina umuhimu kwa vile akikataa baadhi ya sura na baadhi ya ibara zingine azikubali tayar kura imeharibika so its better to say Yes or No. Hata sioni mwenye unafuu hata mmoja...
Hapo kinachoonekana ni kuzidiana mbinu za kisiasa na uelewa kati ya TCD na upande wa JK, ukisoma vizur maelezo ya cheyo amejaribu kuzungumzia swala kwenye hatua ya mwisho ambayo ni kupiga kura tena kama itarudiwa, kama maana hiyo upande wa pili JK wamejiridhisha kwamba. wamalize hii hatua ya...
Hapa Tz ni unafiki mwingi hakuna la maana! Najiuliza ni possible kubadili red kuwa njano nikimaanisha kwamba ni yuleyule m/kiti aliyesimama na mwenye kubeba ujumbe wa chama chake kwenye ufunguzi wa BMK na ndo chanzo wa maswala yote haya, hv leo hii syo m/kiti tena? Halafu hawa wahadhiri wa vyuo...
Mkuu inawezekanaje kwa muundo wa serikali 2 na ule wa serikal 3 kuwa na the same contents hivyo ni vitu viwili ambavyo hafipikiki chungu kimoja. Cha msingi ni kuweka katiba ya ambayo ni rasimu ya II na hii iliyopo sasa ya 1977 lakin ifanyiwe marekebisho kuhusu tume ya uchaguzi kuwa huru na swala...
Acha ushabiki wew, hayo ni majukumu yake ni si swala gen alilofanya na isitoshe hata utekelezaji haujafanyika unaanza kutokwa na bofuu. Hayo ni maneno ya kujikosha aonekana ni mtu mwema kwa wanaume ila hapo kinachofanyika ni kiin macho maana bahasha ina mhusu na hata hana muda wa kufanya...
Inaonekana hujaelewa vizur mwana, hakuna mtu anayelaumu kuhusu sehemu ambazo hatuna wataalam hata hvo ni chache sana, ila kuna kazi zingine ambazo ni za kawaida sana ila unakutana na foreigner ndo unachoka. Nina mfano kwenye kampuni moja foreigner anafanya kazi ya kuchomelea hata hii hatuwezi...
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka 30 mnyaturu, maji ya kunde, nimehitimu degree in mining engineering. Namtafuta wa ubavu wangu awe mnyaturu,maji kunde, awe angalau mwl grade au diploma, umri kati ya miaka 20-25. Awe mkristo catholic. Kwa aliye serious anipm
Hivi km wakijadili tuu yaliyosemwa kwenye rasimu kulikuwa naumhimu wa bunge??????
I
Kujadili ni muhimu, kubadil baadhi ya mambo ili yakae vzr na syo kubadili contents nzima maana hapo itabid tuanze kutengeneza rasimu nyingine! Kutokana na maelezo yako hakuna haja ya kuwa na bunge tanzania hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.