Jamani palipo na ukweli tuongee tu, mtoa hoja amesema kitu ambacho wa kweli kipo maana wachungaji wa sasa hivi hasa makanisa haya ya kigeni mtu anapanga jengo anaanzisha kanisa kuwatisha watu na matatizo yanayokabili jamii kwamba yeye ana solution. Watu wanaenda harafu wanaishia kugandamizwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.