mheshimiwa dalali at work!
muwe mnalipa basi hata commission hapa Jf kwa matangazo yenu, mbona nyie hamumpeleki mteja kuoina nyumba hadi "awafungue miguu"? eti wengine mnaita hela ya usumbufu, usumbufu wakati ndiyo kazi yako! huo ndio wizi wa mchana kweupe!
hahahaaa
umenikumbusha enzi nikiwa...
mkuu,
nahisi we hujamwelewa judith, mtoa mada kasema milioni 15,500,000/- yaani milioni milioni kumi na tano na nusu au 15,500,000,000,000/- in figures! hizo si mil 15.5 tshs, bali trilioni 15.5 tshs., ni sawa na bajeti ya serikali karibia ya miaka miwili! ndo maana judy akauliza, hizo si...
wakuu,
hapa JF Dr kunana uzi huu:
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/210330-tonses.html
Dr Nguruvi3 alikuwa amemjinu mtoa mada kama nilivyoquote hapo chini:
sasa mheshimiwa Dr. Nguruvi 3 na wengine
naomba kujua zaidi hapo kwenyered.
Nina mtoto wa miaka mitatu sasa na amekuwa...
asante sana dada kwa ufafanuzi. huyo kijana ELIHU kwenye kitabu cha Ayubu, hata mimi namkubali sana. aliongea mambo mazuri sana ya hekima kubwa sana.
asante kwa somo zuri na Mungu akubariki
heri ya mwkaa mpya 2012
1. wahanga, waathirika wa moja kwa moja
2. waathirika inajumuisha wale wa moja kwa moja na wassio wa moja kwa moja
mfano,
wahanga wa mafuriko ni waliokosa makazi, waliofariki kwa kuzolewa na mafuriko nk. lakini waathirika wa mafuriko ni wale waliopoteza makzi, maisha, mali zao nk pamoja na...
1. heri ya noeli ni blessed chrismass ,
2. happy chrismass ni furaha ya noeli kwa kiswahili (au noeli yenye furaha).
3. fanaka ni mafaniklio, kwa hiyo fanaka ya noeli ni sawa na kusema prosperous chismass!
wapendwa, Mungu wetu ni mwema siku zote na uaminifu wake wadumu vizazi hata vizazi. nawashukuru sana kwa kututia moyo na kutupa nguvu ya kusonga mbele. Mungu awabariki sana.
mama pia amefarijika sana kwa maneno yenu na anawapa salamu za shukrani na heri
asanteni sana wakuu, sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake hakika tutarejea siku moja. Mungu awabariki sana kwa faraja mlizotupatia mimi na familia yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.