Wavelength ya drop ya signal ikilingana na diameter ya drop ya tone la mvua kunatokea cancellation ya signal, kwa hiyo issue hapo ni frequency of transmission, high frequency means low wavelength and high attenuation, Kuband ina frequency ya juu kuliko C band.
Lisilowezekana kwa wanadamu linawezekana kwa mungu, kama yesu mwenyewe alibadilisha maji kuwa divai tamu, na akasema mtafanya mambo makubwa kuliko haya kwa kuwa mimi naenda kwa baba, je haistahili aliyeamini kufanya haya? Mfungule fahamu zenu kwa jina la yesu.
HABARI YENYEWE NI HII NIMEPATA TOKA KWA MTU WA KARIBU SIJUI KATOA WAPI
Maelezo ya Barua ya Mwakiembe
Bado nina imani kubwa na Jeshi letu la Polisi kwamba litaifanyia kazi taarifa hii bila kujali nguvu ya ukwasi na ya kisiasa ya watuhumiwa na kwa kuzingatia misingi ya haki na ukweli.
Msingi...
Mimi
mwezi April,nilipoteza Dada yangu ambaye tulimpeleka hapo hospitali anatembea mwenyewe ilikua Alhamisi na usiku wa kuamkia Jumapili nilipigiwa simu kuwa moyo ulisimama ghafla akifanyiwa operation ya dialysis. Hii hospitali inamatatizo makubwa hatujajua kuna nini hapa.
YA TTCL MNAYAJUA?
Nilisoma makala yako kwenye raia Mwema na kati ya vitu ulivyozungumzia ni ahadi za mtandao na kushuka kwa bei baada ya mkongo kuwasili. Nikuhakikishie kuwa bei zimeshuka mno kwa viwango vilivyokisiwa. Kwenye TTCL Broadband Mwaka jana kipindi kama hiki 500MB ilikuwa ikiuzwa...
Nilisoma makala yako kwenye raia Mwema na kati ya vitu ulivyozungumzia ni ahadi za mtandao na kushuka kwa bei baada ya mkongo kuwasili. Nikuhakikishie kuwa bei zimeshuka mno kwa viwango vilivyokisiwa. Kwenye TTCL Broadband Mwaka jana kipindi kama hiki 500MB ilikuwa ikiuzwa shilingi 30,000. Sasa...
Ukweli juu ya jambo hili analo aliyechukuliwa msukule, maana maamini ndiye aliyetoa habari nzima, alikuwa wapi na alichukuliwa na nani. Naunga mkono mchangiaji aliyepita kwamba mchungaji haiti mtu tuu aseme ila mtu anakuja halafu anasema mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.