[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kweli mpinga kristu tunaye within. Wastage of time and resources. Hakika Mungu atalipia sumu unayomwaga. It's a shame!!! Hizi story ziko miaka mingi sana.
Duh! Kaaa tafakari kwa umakini kwanini watu wengi wanamtaka Lowassa licha ya kuwa na baadhi ya mambo yasiyo mazuri. Kama mnadhani kuwa ni dawa au watu hawafikirii vizuri basi nadhani iko kinyume chake.
Mnajisumbua tu MMM makala ndefu hizi hazitabadiri watu maana mengi yanajulikana.
Hata...
Wewe kama mtanzania una haki kusema usemavyo lakini kumbuka hii nchi si yako peke yako kila mtu ana hiari yake. Kama vile CCM na madudu yote bado ina wapenzi basi na CDM nayo ina wapenzi na watampigia kura Lowassa.
Maamuzi ya mwisho niya mpiga kura. Semeni yootee tukutane Oct 25.
JK ameshiriki kwenye kumkata Lowassa sioni hana jipya gani. Mimi naomba afanye hilo unalo shauri. Tumesikia akiwa Kenya kuwa mgombea wa CCM atashinda ndani ya Bunge la kenya. Hakuna jipya hapo.
Tunasubiri kwa hamu tamko lake ili mwisho wa siku kusiwe na visingizio. Mapambano ya CCM yameishia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.