Hali ya maumbile ya mtu, hebu mwambie mtu akupige picha miguu yako halafu uifanyi tathimini au uwape watu wengine waitathimini unaweza kujuta kwa nini ulifanya hivyo.
Wazinz wanamatatizo kweli, yaani wanatafuta masaada wa kumlinda Mtu, wakati alipokuwa anayafanya haya mbona hamkutuuliza. Acha kuleta mada zisizokuwa za msingi.
Tule unga wa yanga kwa sababu Nyerere aliupenda, au kulikuwa hakuna uga mwingine. Hata hilo basi La aina hiyo halitengenezwi tena hapa duniani je kwanini unataka kuturudisha kwenye ujima. Kwa kuwa babu zetu walitumia zana za mawe basi sisi tusitumie visu vilivyopo sasa. na hatufanyi hivyo kwa...
Polisi mmoja wa kikosi cha FFU ameuliwa wakati wengine kadhaa wamejeruhiwa vibaya leo na raia wenye hasira maeneo ya Tegeta Namanga. Pamoja na skari, kuna raia wawili pila waliouliwa na askari hao wa FFU huku wengine wengi wakiwa wameumizwa vibaya. Hii ilitokea kwenye purukushani iliyoanzhishwa...
Unajua jamaaa wanaosema Dhaifu halafu wanaendelea kunyenyekea, nawafananisha na mwamnamke anayesema kuwa mwanaume wangu ni dhaifu kwenye Mambozi lakini haondoki kwa huyo mwamamume na bado anamvulia nguo. Kama wewe shupavu si ukamvulie mwanaume mwingine, haya mengine yanatokana na Shida za watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.