:a s 41: nimepewa taarifa na moja ya wahusika udom kuwa majina yalichelewa kutumwa chuoni, so bado wanayfanyia kazi. Hivyo amesema kuwa wiki hii yatakuwa hewani.
But nacte ni wazembe sana sijui nini kimesababisha wachelewe kutuma majina!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wakati ikiwa imebakia siku moja kufika tarehe 14/Dec/2014,tayari kumezuka sintofahamu kwenye swala LA malipo.
Wakati wilaya zingine za mkoa wa SIMIYU kama MASWA,BARIADI na BUSEGA wamelipwa Tshs 140,000/= KWA malipo ya semina na uandikishaji yaani Tshs 10,000/= KWA kila siku ya kuandikisha na...
Jamani naomba anayefahamu taratibu za kujiandikisha na mtihani wa kidato cha nne aniambie wadau,
yaani; ada kwa pc
mwisho kujiandikisha na utaratibu mzima.
Hivi jamani watumishi, ukiambiwa umeingia kwenye orodha ya kwenda kusoma maana yake unajilipia(namaanisha kupitia mkopo/kujilipia mwenyewe) au halmashauri itakulipia?
hasa kwa walimu.
Wadau hivi taratibu za mtihani wa kidato cha sita ukoje siku hizi kwa watahiniwa wa kujitegemea?
nataka kurisiti.
nataka kujua ada ya mtihani na mwisho wa kulipia. asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.