mimi kilichokuwa kinanikera na polisi walivyokuwa wanasitisha mikutano ya vyama vya upinzani hata kabla ya muda halali kutimia na kuwaruhusu wagombea wa chama cha ccm hata kama muda umeshatimia
SO MANY PERTICIPATED BUT IT WAS MWALIMU NYERERE AND KAWAWA WHO FINALISED IT.
hah hah hah hah jamani wapi kuna duka la spea za mbavu, but yet you made my day
karibu sana kaka jisikie huru but kama mjumbe alivyonitangulia kusema kuwa this is the home of great thinkers kwa maana hiyo tunahitaji sana mawazo yako, sorry other member sitegemei kuulizwa mi nishachangia thread ngapi coz mi mwenyewe ni new came!!
bwana asifiwe, tumsifu yesu kristo, aslum alykum,
kama kuna amboa sijawagusa mniwie radhi ndugu sangu binadamu mi sijakamilika. nikama naingia hivi naomba tu mmnipokee na mwenyezi mungu atazidi kutubariki sote amina, amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.