Mashuleni badala ya kufundisha mwawahimiza wanafunzi kufanya usafi pindi wafikapo viongozi wa serikali. Je, hamwoni ya kuwa mnachangia kufeli kwa watoto mashuleni? Nanyi viongozi wa serikali ni kwanini mwaliona hilo na kulifumbia macho? Ni kizazi gani cha baadae mnachokilea kwa mtindo huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.