Ukilikoroga lazima ulinywe nyambafu wewe,inaonekana wewe na huyo wifi yako wote ni machangudoa wekundu,hainhii akilini wifi yako anafanya umalaya wewe unamfichia siri eti kwa kuwa ni rafiki yako,bila kakaako ungemjua huyo? adhabu ni hapa hapa dunian ngoja uchezeke kwanza ndo upate fundisho kwan...
Mdau hapa kuna mambo ma 3 ya kuzingatia ambayo yako wazi
1.Umeshaowa kwa hiyo huruhusiwi kutembea nje ya ndoa
2.Anataka umzalishe mtoto asiye kuhusu lakini mtoto akipata matatizo hatakubali kuyabeba peke yake
3.Anasema alikupenda toka zamani na anaendelea kukupenda,hiyo ni ishara ya kukuharibia...
Henge wewe ndo jinga kubwa
Huyo bwana alikuwa sahihi
Alitaka kujuwa wakati yuko
Nje ya nchi mkewe alikuwa na mahusiano au la
na kile kitendo cha mkewe kwenda kukutana naye
kinadhihirisha kuwa mkewe anapigwa na tayari jamaa
ameshapata picha halisi
imebaki kwake kuchukuwa uamuzi
Mkewe alitakiwa...
Yaani hapo nakubaliana na wewe mkuu kwa 120%,huyo kijana anachokifanya si kibaya ili vidume ndo wanafanya ukware usiotakiwa,ukiona wote wanaomshambulia lazima watakuwa ni wakware wa kutupa,wewe una mkeo nyumba ndogo ya nini,ninyi ndo msababishao ukimwi usiishe na mnaongeza watoto wa...
Yaani hapo nakubaliana na wewe mkuu kwa 120%,huyo kijana anachokifanya si kibaya ili vidume ndo wanafanya ukware usiotakiwa,ukiona wote wanaomshambulia lazima watakuwa ni wakware wa kutupa,wewe una mkeo nyumba ndogo ya nini,ninyi ndo msababishao ukimwi usiishe na mnaongeza watoto wa...
Pole sana bwana,hapa hakuna cha kuuliza,hiyo meseji siyo yako,katumiwa m2 mwingine bahati mbaya ikaja kwako........au "SINA IMANI NA MULE KWAKO.kama ni wewe kwani kwako kukoje?
Acha uchizi wewe akili yako ilishakimbilia kwenye uzinzi,mara unaomba ushauri umu-do or not mara babake akijuwa? huna msaada kwa huyo binti..................msaada wa muungwana hauna masharti
Du ama kweli maisha ni mapambano,wengine wanapambana wapate wengine wanakimbia,wengine wanataka kila siku wanayimwa,wengine wanapewa kila siku wanakimbia,kaaaazi kweli kweli
Fast nakimbilia angaza kupima na kupata ushauri nasaha,kama -ve nasepa na kama ni +ve nampiga mkwara atulie kisha namuowa ili tuambukizane vizuri ss wawili
du hii kali kweli kweli,
sasa kwann ufanye nataka sitaki wakati unataka?
hii haijakaa sawa hata kidogo,
Pia unachanganya maada
kwani maandalizi na sitaki nataka
ni vi2 viwili tofauti
kama ni maandalizi
kuna vi2 viwili waweza fanya
___Anza kujiandaa mwenyewe
___mwambie akuandae ikiwezekana kwa...
Wewe uinaonekana huja2lia,
Kwa hiyo unaona akiwahi kurudi home anakubania
Pia inawezekana unampa dozi kubwa inayomfanya ajisikie kuwa pemben yako muda wote.
Tehe tehe teheeeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.