Sijalalamika hata wakipandisha 50% haina shida . Shida yangu ni haya makato mara umeme kijijini mara ewura mara REA. Hivi tunaposema unalipia kodi maana yake ni nini? Sio ndio za kuchangia umeme kijijini, ewura, service charge, kikwete campaign etc?
Wakuu nna hasira na TANESCO
Jana nilipitia kununua LUKU maala fulani, nilinunua umeme wa 10,000/- lakini ajabu risit ilionesha kuwa nimestahili umeme wa 5,800/- tu ambazo ni kama forty something units hivi. Sikuelewa kabisa nikajaribu kupitia kale ka-riceipt chao ndo lah!! nakutana na Vat 18%...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.