Husika Na Kichwa cha habari, Mimi ni kijana 30 Niko kaskazini arusha kazi zangu ni ujasiliamali natufuta mchumba wa kike miaka 20-35 sina masharti wala vigezo aliyetayari anitafute au kwa email mafuru4@gmail.com
Kama inavyojieleza hapo juu hii kitu baada ya kukaa angan kwa miaka mingi sana hatimaye imepotea na kuelekea kusikojulikana, wataalamu na wadadis wa mambo had sasa hawajatoa ni nini chanzo hadi kupotea na kutoenekana kabisa.....basi tuendelee na mada hii mototo
Sio tatizo tu kaka hii kitu toka tarehe 24 imepotea na kuelekea kusiko julikana katika anga la mbali usawa wa kama km33000 toka usawa wa bahari kuna customers wengi sana ambao hadi sasa hawana mawasiliano baada ya hii kitu kupotea ndiyo maana Continental sasa wanahaha kupata satellite...
Yaap shukran mkuu kwa maelezo powa sana, nilijaribu kupitia Amazon kule nimeona hiyo touch/digitizer ya xl iko around $12/14yaan ni very cheap ila powa ngoja nifate ushauri wako kaka
Sasa Mkwawa umeongea kitu hapa nadhan nitapata msaada pia hapa, natumia nokia xl front glass ilipata damage ikaweka michilizi mingi tu but its still working na tach yake inapiga mzigo kama kawa, sasa nikatafuta fundi basi ile kuiona tu bana si akasema eti kuweka ingine tu ni 250000 is it...
Mambo vip waungwana natumai kichwa cha habari chatosha kabisa natafuta hiyo kitu hapo juu yyte ambaye anayeweza nisaidia ani pm ili tufanyr biashara wandugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.