Search results

  1. D

    Kuunganisha DR Congo na Tanzania

    Naomba kujua hii serikali ya sasa inaendeleaje na mkakati wa kuunganisha DR Congo na Tanzania Ili mizigo ya DR Congo isipitie Zambia bali ipitie Tanzania na kufika DR Congo kupitia Sumbawanga
  2. D

    msg from sitta (akiwa muccobs)

    uadilifu, kutokujilimbikizia mali, umoja, usawa na uwajibikaji ndizo sifa za viongozi wa taifa. viongozi ambao wanavunja hizi sifa ndio chanzo cha umaskini wa tanzania tangu miaka 50 ya uhuru. i agree n thank u very much Mr. Sitta.
  3. D

    More Gold in Tanzania... People remain poor!

    kwa nn tanzania ni tajiri na maskinii wakati huo huo?
  4. D

    More Gold in Tanzania... People remain poor!

    why Tz is still poor after 50 yrs of independence (according to Mr. Mangasini) Tz depend on rain fed since independence agriculture. Motivation to work has decreased bcoz hard work is percieved as a colonial element. A lot of programs are copied from IMF and world Bank eg. sAP, which do not fit...
  5. D

    More Gold in Tanzania... People remain poor!

    Mangasini, "wakati wa uhuru Tanzania ilikua sawa kiuchumi na Korea Kusini, lakini leo hii korea kusini inatudhamini na kuwa na maendeleo makubwa kuliko Tanzania.
  6. D

    More Gold in Tanzania... People remain poor!

    Mh Sitta aliwahi kuambiwa na Mwalimu J. K Nyerere kwamba, "msichezee misingi ya utaifa ambayo ni uadilifu, umoja, kutokujilimbikizia mali na usawa na uwajibikaji. Kinyume cha haya ndio tabia ya viongozi wengi hapa nchini
  7. D

    More Gold in Tanzania... People remain poor!

    MH. Sitta akiri kwamba yeye anafuata nyayo za Mwl. J.K Nyerere, na ataweka juhudi kuhakikisha wanakirudisha chama cha ccm kwenye mstari
  8. D

    More Gold in Tanzania... People remain poor!

    This should give us some solutions to overcome this poverty. i wanna join ideas from a debate at muccobs and jamii forum members. Your contribution is of the essence
  9. D

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    Mh. Samwel Sitta, Dr. Harrison Mwakyembe, Prof. Issa Shivji, Prof. Suleiman Chambo na Mr. Mangasini ndio watoa mada wakuu katika kongamano hili hapa chuo cha ushirika na biashara Moshi. Leo tunataka tujue sababu ya huu umaskini wetu baada ya miaka 50 ya uhuru, kama kuna mchawi tumjue...
  10. D

    Elections 2010 Wasira ashinda kwa kishindo

    huyu c mwenzetu
Back
Top Bottom