Guys, habari zenu,
Mi sijui tuseme ni tatizo au ni nini, nikikutana na mwanamke kimapenzi, nikijaribu kuvaa condom, mashine haisimami kabisa ila nipige peku, nachochea haswa. Mnisaidie, kwani sometimes napataga zile game za show time zisizo na point, ni lazima nivae jezi.
mi nimeamua nianzishe mradi wangu wa kufuga kuku wa mayai, na kwa siku sasa hivi naokota trei 14 na trei moja ni 8000 hadi 8500..piga mara siku 7 za wiki ni 56,000, piga 56000×4weeks=244,000 nikitoa matumizi, chakula cha kuku
elfu 50, usafiri elfu 20 na matumizi madogo elfu 30 nabakiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.