Huyu Mtemvu sioni anachokifanya Temeke zaidi ya biashara ya wadada ndio akili yake uwezo wa kufikiri umeishia hapo.
Anafikiri atachaguliwa kwa ukuhadi anaofanya.
Kitendo cha VodaCom kubadilisha gharama za bundles bila kuwajulisha wateja wake ni wizi mkubwa. Ni bora muwajulishe wateja kabla hamjabadilisha vifurushi ili mtu ajue anabaki ama kuhama kulingana na uwezo wake.
To my side nimefurahishwa sana coz kutumia milioni 96 siku moja tu kwa ajili ya harusi ikiwa kuna ndugu zetu wengi maisha yao ni mabovu na fedha zetu wenyewe walipakodi.
Hii safi sana na iwe fundisho kwa wenginge.
Mwananchi limepoteza mwelekeo kabisa kwa kua wafanyakazi na wahariri mahili waliacha kazi kutokana na wakenya kushindwa kuwalipa mishahara. Waandishi wengi waliobaki gazeti la Mwananchi hawana uzoefu pamoja na field wengi kwa kupenda cheap labour na hayo ndio madhara yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.