Chama fundi wa mpira.. Ubora wake unadhihirika misimu kadhaa sasa, Pacome ni mchezaji mzuri pia tumpe muda tuone ubora wake ukizingatia ndio msimu wake wa kwanza pale Yanga.
Yaani haijalishi kitu kina ukubwa au udogo kiasi gani kama unaona kimekufaa unakichukua na kama hakifai unakiacha.. Na wema hauozi hata iwe ni punje ya mchanga
Kwenye mambo yake 10 basi lipo moja ambalo linatosha kabisa kumpenda nalo hilo na amani kutawala ndani ya nyumba! NB: Mkamilifu hakuna tuvumiliane madhaifu yetu
Kwa misimu takribani 6 mfululizo haijawahi kuwa shida kubwa kwa Simba kufuzu hatua ya robo fainali, ni wakati sasa wa kupambana kuitafuta nusu fainali na hata fainali yenyewe. Kila kitu kinawezekana kama mtani alisubiri kwa miaka 89 na wamefanikiwa kuingia hatua ya robo basi hata kwa Mnyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.