HAPANA BWANA,c upenzi wa mpira bali ni uchache wa uelewa walionao polisi wetu labda darasa nalo linachangia but ah wapi pengine hawajui wafanyayo ni makosa. kama ni mapenzi na mpira mbona polisi haohao huwapiga wapinzani wanapokuwa kwenye mikutano yao na wala hata ckumoja hutosikia wamewapiga...
Habari jamani,haya harakati za kampeni na uchaguzi zinakaribia.Tusilaze damu,tuchangamkie mafulsa haya coz SISIni taifa la leo.kila la kheri ktk kuchagua viongoz makini.TUNAKUMBUSHANA TUUU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.