Hoja kuhusu Upandikizi na kwamba Uzuri wa Chadema sio kila mtu anaukubali na ndio maana hasa ya demokrasia. Lakini pia huko kuungana nadhani chadema ndio wa mwanzo kupinga muunganiko huo. Tumeona baada ya kuukwaa Ukuu wa Upinzani Bungeni hawajataka kushirikiana na chama chochote cha Upinzani...
Hoja kuhusu Upandikizi na kwamba Uzuri wa Chadema sio kila mtu anaukubali na ndio maana hasa ya demokrasia. Lakini pia huko kuungana nadhani chadema ndio wa mwanzo kupinga muunganiko huo. Tumeona baada ya kuukwaa Ukuu wa Upinzani Bungeni hawajataka kushirikiana na chama chochote cha Upinzani...
Jambo la kwanza cdm ikikata nchi, ipunguze matumizi ya serikali kuu ( cost reduction ) futa wakuu wote wa wilaya, kurugenzi mbalimbali zizizokuwa na tija katika taifa hili, majimbo yaanzishwe haraka sana, futa viti maalum, na kama ni muhimu ziwe 10 tu, tena kwa makundi maalum na idadi hii iwekwe...
Mahakama gani, hapa bongo uwezo wa mahakama zetu ni kufunga vibaka tuuuu. Na bahati mbaya zote zina makada wa chama kama waendeshaji wa mahakama hizo. Na ndo maana CDM arusha wanaambiwa na makamba waende Mahakamani kama hawajaridhika na uchaguzi wa Meya. Wakishaenda wapigwe danadana miaka mitano...
Huyu mzee ana mapepo, au hamkusoma kwamba ibilisi anaweza kujigeuza akawa kama malaika wa nuru? Makamba Biblia anaijua wapi?? Tatizo lake na watu wa sample yake wanafikiri Biblia ni riwaya, au hadithi, ila inahitaji uwe na Roho wa Mungu akufunulie maandiko unayoyasoma. Kile sio kitabu kama...
Mimi binafsi alikera majuzi, alipotoke kijani pale mlimani city.
Unajua unapokua mtangazaji/mwanahabari unawahudumia jamii kubwa ya watu ambao wapo wenye vyama, wengine hawana kabisa, hasa ktk mazingira haya ya bongo ambapo watu wengi tumechoka.
Sasa mwanahabari unapotokea kijani, hafu kesho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.