Serekali imetoa billion 2 kuboresha miundombinu. mie nadhani nimeelewa tafauti kidogo. Hiyo billion 2 sio kujengea geti tu bali imetumika kufanyia mambo mengine kama kukarabati/kujenga uwanja wa ndege.
Usitazame saana suala la umri wangu mkuu coz naweza hata nikawa baba yako(ki umri), ila tujaribu kutumia Common sense hebu jaribu kuzama deep kimawazo. Usisikilize makelele ya tv sijui redio wala makelele ya wanasiasa(vyama vyoote kutia ndani ccm) jaribu kuji factory reset halafu uyatazame hayo...
Taasisi ya ndoa ilikua inafanya kazi/apply zamani, baada ya kizazi cha Internet kuja ndoa imekua mzigo,ukweli usemwe. Ndoa ya sasa imekua inamfaidisha sana mwanamke kuliko mwanaume., na haya ni matokeo ya kataka usawa kitu ambacho hata kiasili hakiwezekani.
Unachokisema mkuu ni kutumia...
Hapana mkuu. Yaani hapa nilipo ni mtu mzima naweza hata nikawa baba yako lakini sijawahi kuelewa haya mambo ,sijui lakini labda mie ni mjinga.
Mie naona Hii ni kama mentality fulani ambayo tunarithishwa inakua kama chain babu, baba, mtoto. Asee mie niligoma kurithi haya mambo mzee. Mpira na...
Huwa sielewi motive inayokuja baada ya maandamano.
Yaani unazunguuuka mitaani unapiga keleleee huku umebeba bango halafu unamaliza unarudi nyumbani kwako kulala.
Ni kama mtu apite mitaani awe anasema sina helaaa sina helaaa halafu arudi nyumbani kwake akalale bila kufanya juhudi ya kuitafuta...
Kwa nini mnawaza arudishwe nani, sijui nani akae na nani? Mi naona ni wakati wa kukipa kizazi kipya nafasi. Wawekwe hawa watoto ili watangazie watoto wenzao
Sasa kama kila mara unacheza mpira, ulitegemea uote unachoma nyama?
Achana na mambo ya kutafsiri, ndoto ni matokeo ya maisha yako ya kila siku achana na imani za kutafsiri. BTW ukilala usikunje miguu utakua unafunga vizuri tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.