hivi wadada wenzangu(baadhi) mbona mko desperate sana,wengine mara watongoze mabwana wa mitandaoni,wewe nawe umepata bwana badala utulie japo yeye ndo akutambulishe(kwa wazazi wake) eti wee ndo unataka kumtambulisha.(mtandaoni)
Halafu muda wote namsuiri huyo shemu ajitokeze/atoe ruhusa ya...
kweli tamaa mbele mauti nyuma lkn bado mtoto anaweza kusaidiwa,si kuna DNA tu wapime itaonesha mtoto si wa hilo fataki la kitaliano.Ingekua ni mim siku tu nimegundua kamfanyia hivyo mwanangu ndo angejuuta kupenda ngozi nyeusi ningepelekesha mpaka angekoma.Kamuacha mumewe hakujua anakuja ulaya...
umeonaeeee ndo hapo sasa inabidi alie kistaili
superstar wa bongomovie
waheshimiwa nimefurahishwa jinsi mlivyo wataalamu wa kuchunguza kila detail ktk picha,hamdanganyiki kirahisi,kweli nyie ni magreat thinker wa kuchambua picha hahhaaaa LOL,ni kweli hapo sio msibani kwa maana ya msibani...
cheka tu shosti wangu wala sikulaumu mi nimecheka nilivyofika home Egyps-women
Asante kwa kuniwish safari njema malkia,ni kali zaidi hasa kama ungekuwepo pale kushuhudia kwa macho yako
acha tu dogo yaani uanawake kazi ila huyu mwenzetu ni mchafu Smile
ndo hivyo si unaona kina lulu wanavaa...
Enheee bibi wee Gaijin kwani kiforensic forensic huwa inachukua muda gani kwa harufu ya uvundo kusikika?Maana sie ghafla tulisikia uvundo ukinuka wewe waona ajabu,ilitaka uchukue siku nzima ndo usikike au? maana umechekecha nyuma na mbele kutafuta kitu kisicho cha kawaida as if uko lab. ukisolve...
Asalam aleykum.
Mashosti ajali hii inayotuhusu kina mama imetokea hapa kwenye airport kubwa kuliko zote ulaya magharibi ambako niko transit kwa muda sasa nikisubiri boarding time kuelekea kwenye my last destination.
Katika kupoteza muda bila kusinzia uwanjani hapa niliamua kutembea tembea...
take it easy dear Baba Ashrat maana hiyo enheee inafanya nijihisi niko kwenye hatari yakusutwa.
Mwaya nahisi nilihisi kimakosa sikujui, mama ashratlicious tu ndo namjua hiyo hata mkinisuta mtakua mnanionea tu lakini namjua mama ashrat ni nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.