kwahiyo wewe mkeo akikuacha na mtoto lazima umbake?
je akifariki nakukuacha na watoto utawabaka?
Na je wanawake wanaolea watoto wao wa kiume bila mume nao wawabake?
mkichangia tumieni akili na upana.
Siku zote usimlaumu mwingine kwa makosa ulotenda.
vipi shingo yake imekaza?
je anafanya matendo mengine kama kucheka ,kushika vitu n.k
je ukimtazama unaona ulemavu wowote dhahiri/waziwazi kabla ya vipimo?
inategemea na.industry ipi.unayoongelea kama ni.muziki.inawezekana
mfano kila mtu anafatilia interest yake.kwa uchumi Mo Dewj anajulikana
kwa mitindo kina millen Magese na Flavian
kwa siasa Jk atakua anajulikana.
kwahiyo akuna kipimo general cha mtu kufahamika nje au ndani ya nchi.
ujauzito huo una umri gani?Labda aligundua ndo maana akakata mguu mapema.
Tulia fanya maamuzi ya busara yatakayo ufaa moyo wako kwa sasa na maisha ya baadae.
kama dhambi ushafanya ya uzinzi kwahiyo katika maamuzi yako kuogopa dhambi isiwe kigezo kikubwa.
wanaume wanao.kushauri zaa ulee ndo...
Mtoa mada amesema single parent akimaanisha mzazi mmoja kulea mtoto anaweza kuwa mwanauma au mwanamke.Naona wengi wame changia single mother.
Sababu za single parenting ni nyingi sawa na sababu mbalimbali zinazosababisha binadamu kutengana.ikiwa pamoja na vifo.talaka.kupata watoto wazazi wakiwa...
Aisee anapata fedha nyingi sana ukizingatia anachotibu ndiyo haswaa hitaji.la wananchi wengi kwa sasa.ukienda kliniki yake utakuta umati hapo ni Dsm tu na hapo mtu atoki bila.kuacha 40.
Baraza jipya asirudi waziri yeyote wa zamani.maana ukiwachunguza wote wana majipu.mengine makubwa wengine vijipu uchungu.waapi mzee wa Kyera na wa Kaliua.kama wangekuwa waungwana wangetoa ata tamko kali kukemea uozo but where?
lengo lao ni zuri la kuwapa huduma ya afya baba mama na mtoto (mimba).Muda unaopoteza si sawa na matatizo ambayo yanaweza kutokana na kukosa elimu. Na sio.siku nzima kama wanavyodai.muda mfupi mkapimwa maambukizi na pia kuprwa taarifa mbalimbali.After all unazaa mara moja atleast kwa mwaka so ni...
aaaaaaaah.remote.
kwanza nikurudisha michango ya ndugu na jamaa wanayo wachangia watu.na kule ukumbini wal akuna mawaidha zaidi ta kula na kunywa.
wafundaji wanafundia home.ukumbini.kwaito.
kwanza mimi ata kurusha picha ya watoto wanao zaliwa na matatizo sipendi.ni kwa faida ya nani.watu awajui vyakushare wanadhani kila kitu ni cha kuweka in public.
Ukosefu wa maadili tu.
Wasiwasi wangu ni kufutwa kwa ada pamoja na michango yoote bila kujali mahitaji maalum ya shule.sjui litafanyika vipi ila shule nyingine kutokana na mazingira wazazi wanakubali kutoa michango.maana serikali zilizo.pita ile pesa ya mwanafunzi tu kwa kichwa inaletwa kwa mafungu madogo yasiyo kidhi...
pole sana.dada mama mtoto pamoja na bibi wote ni matapeli.wanaangalia upepo tu wapate pesa.
mfano suala la tangazo jina anataja mama tena hospital sasa huyo baba anafikaje kwa nguvu na kulazimisha mabadiliko yoyote.ina maana anaingia mpaka chumbani?
ukweli ni kwamba wamekuwa waki wa...
Wala ujapata mwanga majibu yote sio ya kweli.
kiwango kinachotumika ni TPGS-numbers.sasa namba inavyokuwa kubwa na mshahara unakua mkubwa.
wewe ungetaja atleast position unayotaka alafu tukutajie rank yake.kumbuka mshahara wa mtu unategemea pia muda alofanya kazi etc.
labda ndo muda pekee waume zao wanabaki majumbani.kwakua baadhi ya watu awawezi kupatikana home.ila sidhani kama ni wanawake wengi wanafurahia ugonjwa.
Nafasi zipo vyumba na madawati vimejaa.Elimu ina changamoto sana hasa katika kata za watu wa kipato cha chini ambapo watoto wengi wanasoma government schools.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.