Wengi wanalalamika lakini hawajui pa kulipitishia likafika naomba hili limfikie Mheshimiwa Rais atusaidie najua anasoma haya yote sijui pa kulipitisha zaidi ya humu . Huduma kwa mteja NSSF wameshindwa kulisemea, wanasema kasome gazeti la serikali ati sheria zote zinapita pale, je ni watanzania...
kujenga magorofa sio vibaya.Kutumia hela ya mwanachama halafu anapokuja kuidai unamwambia asubiri mpaka afike umri wa miaka 55 - 60 wakati huo anaidai ana miaka 52 unamwambia aende kwenye taasisi za kutoa mikopo akakope afanye biashara. Jamani katika miaka hiyo huna kazi nani atakukopesha , je...
Hapo lilipo godown la monalisa na jirani limefumbiwa macho kisa eti ni mwekezaji (sifa ya mwekezaji inabidi iwe kuboresha miundo mbinu sio kufifisha ) , eneo la kutoka chang'ombe maduka mawili kupitia viwandani inapokutana na mbozi road pia ni shida jamani tusaidieni . Hawa wawekezaji wangaliwe...
Bila kusahau eneo la serengeti mtaro wa kupitisha maji yanayotoka kwa sokota /polisi changombe na unaopokea kupitia St Teresa primary school umezibwa mkandarasi aulizwe vizuri eneo hilo linajaa maji kila mvua kidogo ikinyesha imewahi kuua mpaka watu eneo la kibasila sababu mtaro wa kati...
ati ili uwe waziri lazima uwe mbunge sasa ndio hapo viwango vya wabunge sio cheti sasa inakuwaje hapo mbunge kawa waziri halafu shule ..............................????????????????????????????????
Mimi niko Dar es salaam.Hii ni post ya zamani lakini nimeona niichangie, nikuambie mimi nimewahi kujaribu hili jambo tena kwenye Wizara inayoshughulikia watoto, tena jengo lao lina vyumba mbavyo havina wapangaaji . Lakini nilipata jibu ambalo siwezi hata kulisema humu maana kama wadau wa watoto...
Mimi niko Dar es salaam.Hii ni post ya zamani lakini nimeona niichangie, nikuambie mimi nimewahi kujaribu hili jambo tena kwenye Wizara inayoshughulikia watoto, tena jengo lao lina vyumba mbavyo havina wapangaaji . Lakini nilipata jibu ambalo siwezi hata kulisema humu maana kama wadau wa watoto...
Hata mtoto anapozaliwa maziwa ya mama huwa hayatoki mpaka mtoto aanze kuyavuta ,hata wewe ukiendelea kuvuta utapata maziwa mengi ya kushiba sababu kadri unapovuta ndivyo homonnes zinavyotengeneza naziwa mengi. endelea tu kama unataka maziwa mengi kama hutaki hacha kuvuta papasa tu.
UNAIWEKEA MBELEKO.CHUKUA GUNZI LA MAHINDI/MHINDI NA KAMBA YA MTI(YA MGOMBA )IBEBESHE, YAANI FUNGIA HILO GUNZI KWENYE MPAPAI KWA KUTUMIA HIYO KAMBA YA MGOMBA ALAFU UTANIAMBIA.
kama mheshimiwa waziri alikubali kutoa athabu yeye na tasnia ya habari pamoja na Chadema wakatoa tamko la athabu kwa Mheshimiwa Makonda kabla mheshimiwa Rais hajasoma ripoti hata kama hajatumbuli hapa protokali nafikiri hazikukzz vizuri wangesubiri wasikie mkuu atasemaje ndio watoe athabu. Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.