Search results

  1. P

    Mbona Wazungu huwa hawapati ajali huku Tanzania?

    How Old are you sir? Mbona wapo wengi tu wanapata ajali. Fanya utafiti kidogo utaona. Japo wengi wao hutii sheria sana. Jambo nadra kwa sisi waswahili.
  2. P

    Kim Jon-Un aibuka tena akiwa fiti huku akiongoza mkutano baada ya kuzushiwa kifo na maadui wake

    Boss! siku mingi mkuu. happy to hear from you back. bless up
  3. P

    TANZIA Prof. Wamba Dia Wamba afariki dunia

    Professor mbwiliza aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa miaka ya zamani nimefanya naye kazi. Ameshastaafu. nimewahi kukutana naye posta mwaka 2018 and he was health and energetic.
  4. P

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    marybaby, The weird thing, Master J wote amewala..
  5. P

    Kipindi Bora zaidi cha Television na Radio Tanzania...

    Hahaha...bila shaka zilikuwa zama za Samweli Sitta (RIP)
  6. P

    Tafakuri ya FaizaFoxy 2: Korosho

    Hahaha...Noted.
  7. P

    Tafakuri ya FaizaFoxy 2: Korosho

    Well then, umeeleweka mkuu. Zao la korosho kama yalivyo mazao muhimu ya biashara linahitaji mjadala mpana hasa kipindi hiki ambapo serikali "imechafua" utaratibu.. mawazo ya wanazuoni kama wewe na ukiwa mdau wa korosho ni muhimu ili kusaidia nini kifanyike katika kuendeleza zao hilo na utafutaji...
  8. P

    Tafakuri ya FaizaFoxy 2: Korosho

    Wazo Murua (Kiswahili fasaha?) kuhusu kukopesha wakulima wa korosho bila riba, nashauri pia hata mazao mengine ya biashara, wakulima wawezeshwe. Ingawa nilipoona kuhusu "tafakuri", nilitarajia kusoma andiko pana na lenye kila aina ya uchambuzi na udadavuaji, ajenda ikiwa zao la korosho...
  9. P

    Vita vya kiuchumi; marekani na china watunishiana misuli tena

    umenikumbusha kisa kimoja, jamaa aliajiriwa kama dereva kwenye construction company ya wachina. lakini ikifika muda wa kuchanganya zege akawa anaitwa ili asaidie. of course aligoma, na kibarua kikaisha...
  10. P

    Vita vya kiuchumi; marekani na china watunishiana misuli tena

    Great. I will be back later for this debate. Ngoje kwanza nisake Tonge
  11. P

    Sakata la Brexit: Theresa May, Waziri Mkuu wa Uingereza atangaza kujiuzulu'

    Hahaha...naona vijana mnapitia magumu. Relax, na hamna sababu ya kupanic. Anyway, just read between the line, utaona kwamba nilikuwa naku-support. Usiongozwe na Hisia mkuu, Fikirisha akili always. Other thing, umesema uprof wa Panya? Chief, hizo ni taaluma za watu kabisa. Kawaulize jamaa wa SUA...
  12. P

    Sakata la Brexit: Theresa May, Waziri Mkuu wa Uingereza atangaza kujiuzulu'

    Mvuta=mvuto Msoji= Msomaji .................Just remembering Faiza Fox
  13. P

    Vita vya kiuchumi; marekani na china watunishiana misuli tena

    Aisee...very interesting! sawa bro, nimekariri, but check the facts again..
  14. P

    Vita vya kiuchumi; marekani na china watunishiana misuli tena

    Mheshimiwa, unaifahamu Silk Road lakini? Je unafahamu Road to civilization of westerners? Well, Chinese wanatuzidi sisi waafrika tu, lakini wameachwa mbali sana na wa-europa.
  15. P

    Mabaki ya mwili wa Jonas Savimbi kuzikwa kishujaa nyumbani kwake Angola

    Uko sahihi sana mkuu. Ingawa, reality ni kwamba 9/10 ya viongozi kwenye Nchi za Ki-Afrika mikono yao Imejaa damu za watu.
  16. P

    Mabaki ya mwili wa Jonas Savimbi kuzikwa kishujaa nyumbani kwake Angola

    Mkuu, pongezi kwako kwa kufuatilia mambo hususan usomaji wa vitabu. Heko ndugu! kuhusu kitabu kinaitwa-Nkomo, the Story of my Life. Kaongea mengi humo hususan independence struggle za Rhodesia/Zimbabwe ya leo. Ni kitabu kizuri though mwandishi yuko biased kwa sababu anazozijua mwenyewe. ukitaka...
  17. P

    "Moto umewawakia, hawawezi kuuzima" - Mengi

    Dammit! Kabanga Nickel? Hawa jamaa ni wezi na wababaishaji. Expert wao wengi ni Agent wa CIA na wabongo wamelala usingizi na hawana taarifa. nawakumbuka hawa jamaa ilikuwa mwaka 1974 nikiwa kijiji cha JURURIGWA-Ngara(kagera). walipotea njia na nikawaelekeza njia za kwenda Bugarama etc.
  18. P

    Nyerere alimkosea nini Mungu?

    wait a minute.. Mandela huyu huyu tunaemjua? Mandela huyu mwanzilishi wa ANC na mfuasi wa itikadi za Mwl. Nyerere? Are you talking the same Mandela aliyekimbilia Tanzania na kupewa hifadhi na mwl. Nyerere na kusaidiwa fedha, chakula na malazi? na unamzungumzia Nyerere aliyekuwa anaamua nani awe...
  19. P

    Wamalawi waomba kurudishwa nyumbani kwao

    Mkuu, hiyo si picha ya Mwl. Julius Kambarage Nyerere. BTW, hiyo ni picha ya kuchora ya one of the victim from mozambique. Picha hiyo ya protesters ilipigwa 2015
Back
Top Bottom