Najisikia vibaya sana ninapoona bunge la bajeti likiwa katika hoja na kuibana serikali lakini naibu spika amekuwa ndo mtu anajibu hoja na kukandia upinzani kweli.
Mungu wape nguvu wapinzani waje wajenge taifa imara lenye utawala safi.
Tatizo kubwa ni huu mkataba wa muungano aka Hati na kwa kuwa watawala wamezoea uongo usio na mfano bhasi ndo maana tumefikia hapa lakini wangekuwa wanaregurate mambo ata watu wasingekuwa ma shahuku ya kutaka kujua hati ya muungano hipo wap na inasema nn lakini kwa uongo wao ulio pindukia sasa...
Ni nimekuwa na nataman kuwa lakini kwanini nisiwe ok nimependa na nimefurahi unajua na utaendelea kujua umakini na ukweli upo katika maandishi na maneno yako kam tukiyarekodi na kuwa ushaidi hakika umesema yaliyo kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.