Discipline ndo msingi wa kila kitu, vijana wa siku hizi wapo tofauti kabisa na zamani huyohuyo Fb,uhusiano wa mapenzi,usanii,mjuaji wa kila kitu yeye, na vyote yeye wapi atakuwa na nidhamu? Maadili kwanza serikali imeshindwa kutupa maadili tuwageukie viongozi wa Dini na wazazi waanze upya...
Sie kabla tujaondoka tuliwaambia mkatubishia eti mtoto wa masikini wakati kwenye serikali iliyopita aliiunga mkono ilihali ilipingwa na wanafunzi wote kabla hajavuliwa Uwaziri na yapo matukio ya wazi yaliyodhihirisha kwa sisi wafuatiliaji wa mambo yasiyoonekana kwa wengi kuwa hafai kwa nafasi...
Kupigania haki hakujarishi madaraka uliyonayo, KAUMZA wewe mvivu wa kufikiri, na mtu hatari ktk harakat za kuikomboa Tanzania toka kwa mkolooni SISIEMU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.