PCCB wauweke hadharani huo ushahidi. Zitto awe na copy kama sita za huo ushahidi maana watampora kila electronic device/gadget yake ili wafuate ushahidi. Ile simu yake hadi leo hawajamrudishia mwezi wa 10 sasa
Hii mijitu inayofaidikia na ufisadi wa CCM (mfano Fidel80) wanakera sana!!
Mtoa mada halalamikii kukosa kuangalia dezo ila umafia wanaoufanyaga TBC....wao wana ruzuku toka serikalini na wanapo-bid wana-bid dau kubwa sana matokeo yake kichefuchefu kama hichi!!! ratiba ya bunge na mpira...
it is good and alarming new.
but as long as you meant to alarm the public it would be much better to find or coin into Tanzanian context. Also dont forget to give the feedback of the sample posted to RSA once are back.
natafuta jeshi la uasi la Tanzania nijiunge nalo maana hivi nilivyo CCM wananiua na uchaguzi ni wizi mtupu si bora nijaribu kuwatoa huenda nikafanikiwa
I have been puzzled for so long with these 'wakereketwa'. Vilio kila mahali kuhusu hali ngumu ya uchumi na mbaya zaidi 'kila kukicha afadhari ya jana' lakini hawa 'wakereketwa' hawataki kukubali hili. Je, ni ujinga? Je, ni kukata tamaa na chama 'chao' kwamba hawawezi kurekebisha hiyo hali? au...
I heard exactly what I expected to hear from him!!!
This guy has NEVER been seriuos!!
NI msanii, muoga na amekosa ujasiri wa ku-face challenges rather anakimbilia kwa wazee wa CCM (huwa anasema wa DSM).
I know people have been insulting a lot Christianity taking an advatntage that we are not over reactive like our counterparts! Can they say such a similar thing to late Mohammad? Fatwal on them follows....then huge and violent street demonstrations! lets ignore them! OUR JESUS CHRIST is ALIVE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.