Search results

  1. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    Mchukia Fisadi Huyo mjamaa ana mipreshapesa... Swali:...sheria ipi?...yeye anajibu ni utaratibu..lalalalaa... So kama ni utaratibu implies that hakuna adhabu hapo, kwasababu sheria ndio inahukumu na si utaratibu.
  2. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    nikusaidiaje?
  3. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    huxiang ni nyumba ndogo ya myikulu,anatetea pipi....
  4. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    Nyumba ndogo ya myikulu imekuja juu... hahah,meza wembe,tushaingia ivo.
  5. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    hahaahah..... Sijiungi period, mkopo nitaupata on time,hakuna wa kutia tungule/jungu lolote nikose mkopo.
  6. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    Oohhh bodi imesema,jazeni haraka,haraka...oohh mkikosa mkopo msinilaumu...oooohhh Bodi inasheria zake,zinazotungwa na Bunge,yes Bunge si Bodi. Ubalozi ni daraja tuu,hawana malaka hiyo ya kutunga sheria.
  7. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    Hatupingi kujiunga,tunapinga vitisho vya kitoys.
  8. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    Utaratibu si sheria wewe,unatia shaka hiyo miaka 13 ughaibuni hujui tafauti ya sheria na utaratibu. Kujiunga sio issue huko=kujiunga hapa JF.
  9. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    Acha undezi wewe. Swali linauliza ni sheria ipi....? Utaratibu na shaeria kipi kina nguvu? Uko kwenye payroll ya hao wanene sie!!
  10. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    GS Anaota huyu...
  11. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    Amkeni wadanganyika! Leo ofisa wa ubalozi na designer wanashirikiana kuunda sheria ya kifalafala ivo,hafu mnaisupport. Si ajabu hata viongozi wetu wameona akili zenu wanawaburuza wanavotaka.
  12. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    Mkulima wewe ndio mwafrika mwenye akili ya kijinga kabisa. Issue hapa ni huyo designer kukurupuka kwa kutunga sheria,,kwa siyejiunga kukosa mkopo. Acha ulimbukeni wewe,unajua hata hiyo database ni nini?Teknolojia imekulala kushoto wewe. Huku ughaibuni watu wanafikiria maisha,hakuna muda wa...
  13. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    Currently Active Users Viewing This Thread: 5 (1 members and 4 guests) manuu
  14. G

    Mastaa kibao wa vichekesho wagombea fomu za Ze Comedy!

    Ama kweli life letu tz liko gumu
  15. G

    HESLB: Sheria-mpya!

    Mtoa mada umezunguka sana. Kwa ufupi,afisa huyo wa ubalozi alimpa tender mwanafunzi/designer mwenye jina "m",atengeneze database. Designer "m" akamwambia afisa huyo wa ubalozi waambie wanafunzi wako asiyejiandikisha hapati mkopo.Afisa huyo bila kuzingatia anaongea na watu wenye akili...
Back
Top Bottom