Search results

  1. Mapengo 17

    Mapigano ya Wakulma na Wafugaji yameibuka upya Turiani, Ng'ombe wengi wameuawa

    Wakuu, Wakazi wa Turiani mkoani Morogoro wanakabiliwa na hali ngumu kwa sasa, hali ni tete baada ya kuibuka kwa mapigano ya kati ya Wakulima na Wafugaji. Taarifa kutoka eneo la tukio zinaeleza kuwa, Ngo'mbe ni wengi sana waliouwawa na wakulima kufuatia kutoelewana kwa makundi hayo Timu ya...
  2. Mapengo 17

    Mashine za EFD sasa kutolewa bure na Serikali!

    Wanajamvi, Kilio cha muda mrefu cha wafanyabiashara nchini waliokuwa wanalalamikia Serikali kwamba mashine za EFD's zinauzwa ghali, kwa sasa tatizo hilo limetauliwa kwani zitatolewa bure na Serikali. Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk. Philip Mpango, ametoa kauli hiyo...
  3. Mapengo 17

    NEC yapuliza Kipenga Uchaguzi mdogo Arusha Mjini na Handeni mkoani Tanga

    Wakati naperuzi katika mitandao ya kijamii nimekutana na hii habari ya uchaguzi Mkuu, nimeona nishare pamoja na waja jukwaa. =========================== TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini (NEC), imetangaza tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi wa Majimbo ya Arusha Mjini na Handeni mkoani Tanga...
  4. Mapengo 17

    Kamishna wa Operesheni na Mafunzo CP Chagonja, amehamishwa kwenda Jeshi la Zimamoto

    Kuna taarifa ambayo nimeipata muda mfupi uliopita na nimeileta kama tetesi ili kama kuna mtu anayo taarifa kamili atujuze vema kuhusu hili la Rais John Magufuli, amemhamisha Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja kwenda Jeshi la Zimamoto kuwa Kamishna Jenerali wa...
  5. Mapengo 17

    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni aibua ufisadi wa bilioni 2.2

    Wakuu, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda, ameibua ufisadi wa bilioni 2.2 zilizotafutwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara hewa. Miongoni mwa barabara hizo ni pamoja na ile ya Polisi Mabatini, Sayansi Kijitonyama na Akachube. Barabara Polisi mabatini (1.78Km) imekuwa ikilalamikiwa na...
  6. Mapengo 17

    Serikali ikiendelea kubana matumizi, Tanzania haitakuwa nchi yenye uchumi wa kati kufikia 2035?

    Hapo nimekadiria ili kwa mfumo huu wa kubana matumizi ya fedha za umma ziokoe sehemu zilizokuwa zinakabiliwa na ukata wa kifedha.
  7. Mapengo 17

    Serikali ikiendelea kubana matumizi, Tanzania haitakuwa nchi yenye uchumi wa kati kufikia 2035?

    Wanajamvi Kama tunavyojua kwa sasa Serikali ya awamu ya 5 imemaliza mwezi na siku kadhaa ikijiendesha bila kuwa na Barza la Mawaziri na mambo yanaenda. Nimepata wanga kwamba kumbe nchi yetu ndani ya miaka 20 au zaidi (2035) ijayo kama itaendelea kubana matumizi ya namna hii si inaweza kuwa...
  8. Mapengo 17

    TANESCO yawasimamisha kazi Maofisa 7 kutokana na makosa mbalimbali, wizi na ubadhilifu

    Akizungumza leo Dec 6, 2015 mbele ya waandishi wa habari Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba alisema, Ukiacha kero zinazosababisha na Miundombinu TANESCO inachukua hatua madhubuti za kuwaadhibisha wafanyakazi wake wanaotoa huduma mbaya na kuwa kero kwa wateja baadhi ya kero...
  9. Mapengo 17

    TCRA watoa Tahadhari kwa App ya Softbox Tanzania, usije kuibiwa pesa zako

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA ISO 9001:2008 CERTIFIED TAARIFA KWA UMMA TAHADHARI KUHUSU KUINGILIA AU KUFUATILIA MAWASILIANO YA WATU Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za kuwepo kwa Programu (Application) ya simu ikijulikana kama SOFTBOX...
  10. Mapengo 17

    Rais Magufuli amemteua Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU

    Huyu Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU awali alikuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, alihamishwa kipindi kile cha harakati za Uchaguzi Mkuu 2015.
  11. Mapengo 17

    Rais Magufuli amemteua Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU

    Rais John P. Magufuli, amemteua Valentino Mlowola, kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, kuanzia Novemba 23, 2015. Kabla ya Uteuzi Mlowola alikuwa, ni Kamishna wa Polisi na Mkurugenzi Intelijensia ya Makosa ya Jinai katika Jeshi la Polisi. Pia Huyu Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU kamla ya...
  12. Mapengo 17

    Tendo la ndoa: Mwanamke huwa kama pasi huchelewa kupata joto na hutunza joto

    Wanajamvi, Katika dhana isemayo makubaliano ni muhimu kwenye tendo la"ndoa" nimegundua kwamba mwanamke huwa kama pasi huchelewa kupata joto na hutunza joto kwa muda zaidi hata baada ya kumaliza kupiga pasi. Inatoke mwanaume anafika nyumbani kutoka kazini anamkuta mke naye yupo nyumbani...
  13. Mapengo 17

    Serena Hoteli matatani, TRA wavamia (ufafanuzi)

    Mwaka huu ni wakuondoa watu wote wanaozingua zingua kila sekta
  14. Mapengo 17

    Ajali: Mtu asiyefahamika amefariki baada ya gari lake kuteketea kwa moto Kibaha

    Wanajamvi, Kuna gari lenye namba T 185 AVT Toyota Salon, imeungua vibaya njia inayokwenda Kibaha kutoka Baobab Secondary School na kuna Mtu ndani ameungua vibaya sana limebaki fuvu tu hata hatambuliki. Polisi Kibaha ndio wapo kwenye tukio. kama unamjua mtu mwenye gari hiyo au ndugu zake...
  15. Mapengo 17

    Uchaguzi wa Sheikh Mkuu wa Tanzania

    Ulishapita lakini,
  16. Mapengo 17

    Ushiriki wa Dk. Wilbrod Slaa kwenye chama cha ACT-Wazalendo

    Mbona alikimbia huyu mzee?
Back
Top Bottom