CHADEMA kuingia Ikulu ni ndoto ya Ndaria.' Haupo mshikamano kati ya Mpanda ngazi na mshuka ngazi.UKAWA wanadanganyana wanatuhadaa kuwa wako pamoja lakini kiundani hawana dhamira moja.
iSITOSHE umoja huu ni ndoa ya mkeka pale viongozi wa vyama vya upinzani walipoungana kutokana na mihemuko hasi...
unaoumia na programme na janja za kula hela za wateja za mtandao huu wa voda ni wengi.Unaweza kukuta ama kwa ridhaa yako au na wajanja bila ridhaa yako umeunganishwa na huduma zinazokula salio kwa kiwango kikubwa sana.
Ikiwa unajua waweza kujiondoa kwa kutumia utaratibu uliowekwa kama hujui...
Tunaoumia na programme na janja za kula hela za wateja za mtandao huu wa voda ni wengi.Unaweza kukuta ama kwa ridhaa yako au na wajanja bila ridhaa yako umeunganishwa na huduma zinazokula salio kwa kiwango kikubwa sana.
Ikiwa unajua waweza kujiondoa kwa kutumia utaratibu uliowekwa kama hujui...
Waswahili wanasema ngoma ikilia sana haikawii kupasuka. Ni hivi karibuni mwanamziki wa Kitanzania wa muziki wa kizazi kipya Hussein Rashid kwa jina maarufu Hussein Machozi ametokea kuvuma sana huko nchini Kenya kwa vibao kadha motomoto kama ' nipe' na Addicted alivyocheza akishirikiana na...
Tatizo si vyombo wala mitambo bali ni masilahi. Kinachotakiwa ni watu kuingia uwanjani kwa kukata tiketi kwa wingi ili kujaza mifuko.Kama ni kuuona huo mtanange utapatikana kwenye marudio na si muhimu tuonwe live kwao masilahi kwanza mengine baadae.
Hata hivyo Timu hii inatakiwa mazoezi zaidi...
THE 2014 'ACSEE' RESULT IS OUT, GIRLS SHINING MORE THAN BOYS IN PERFOPMANCEA-SHARE ON EMAILEMAILSHARE ON PRINTPRINT
The Deputy NECTA Executive Secretary
Dr. Charles Msonde
The results for Advanced Certificate for Secondary Educationa Examination ( ACSEE ) 2014 annouced by the...
RATIBA YA MTIHANI YA KIDATO CHA NNE (CSEE) MWAKA HUU INAANZA RASMI JUMATATU OKTOBA 06, 2014, NA MTIHANI WA MAJARIBIO WA CHAKULA NA LISHE (051/2 FOOD AND NUTRITION PRACTICAL ) NA KUMALIZIKA IJUMAA, NOVEMBER 28,2014.
Mwaka huu mwanafunzi atakaye tumia namba ya mwanafunzi mwingine,
ama kimakosa...
SIKU ya Jumatano 25,Juni 2014 mahabusu tisa wa gereza la Wilaya ya Geita mkoani hapo walivua nguo hadharani mbele ya Mahakama ya Wilaya kwa madai ya kucheleweshwa kusikilizwa kwa shauri lao. - See more :bump:click here
Mechi za leo kweli ni kali.Ukiacha hii ya Brazil na Chile iliyoisha muda si mrefu Brazili katokea tundu la Sindano.Colombia ingawa hawajawahi kuchukua kombe hili tokea michuano hii kuanza hapo 1930 inaonekana kujaribu bahati yake dhidi ya Uruguay ambayo ilikwisha lichukua kombe hili mara mbili...
bofia liki hii ujue ulikopangwa.
Hii Wiki jijini Mwanza: (BREAK NEWS) - MAJINA YA VIJANA KIDATO CHA SITA 2014 MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA PILI NA VIKOSI WALIVYOPANGIWA
VIJANA WOTE AMBAO WAMEMALIZA KIDATO CHA SITA NA MAJINA YAO HAYAJAONEKANA KATIKA AWAMU ZOTE MBILI WAWASILIANE NASI...
Kwa ufahamu zaidi bofia link hii:israel:
Hii Wiki jijini Mwanza: TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) KWA MUJIBU WA SHERIA MWAKA - 2014
;
KWELI KIJANA HUYU NAMUAMINIA. Wakosaji ndio maneno yao hao.Nimezisikiliza nyimbo HIZI zenye jina la kufanana Kitorondo ya Nurdin ft Alsay na Diamond Platinum.Kweli zina mahadhi ya kufanana NA ZIMEPIGWA katika mtindo wa Kigodoro.
Sijui aliyepiga muziki wake kwa mtindo wa Kwasakwasa, Hip Hop,Rn...
Nimeusikiliza WIMBO wa Nurudin na Aslay wa KITORONDO unaodaiwa kugushiwa na Diamond Platinum lakini, sijasikia huo wa Diamond unaodaiwa kugushiwa ili kujiririsha.
Naomba anayeweza ku 'upload' Kitorondo wa Platinum ili kujirisha na hoja hii ya ku 'copy' na ku 'paste' anayobambikizwa nayo hivi...
Wale waliokuwa wamepangwa Kambi la RUVU soma kupata marekebisho
(.VIJANA 1200 WAMEONDOLEWA KUTOKA KIKOSI CHA RUVU NA KUPELEKWA VIKOSI VYA MAKUTUPORA, MAFINGA NA WACHACHE
VIKOSI VINGINE.)
Pata mabadiliko haya kwa kubofya link hii: -:bange...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.