Ivi mbona nyie kaz yenu kupinga tu kila jambo? mtu unakaa kwa mtogole utaujua saa ngapi umuhimu wa barabara hii...mimi naishi kunduch na ili kukwepa foleni huwa nikifika moroko naingia msasani then oysterbay then narudi salenda...sasa kwa daraja hili ina maana nitainyoosha moja kwa moja via...
Gari aina ya toyota carina inauzwa.....
specifications:
1. Ti carina 1998
2. CC: 1490, Engine 5A.
3. Haina AC ila mfumo wa ac upo vitu vingine vipo safi, gari haivumi imetulia barabarani.
4. Haina ubovu wowote inatembea;njoo na fundi wako ajiridhishe ukipenda
5. Insurance inaisha mwezi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.